Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha ni kama mbio za relay. Ukipewa kijiti unakimbiza mpaka zamu yako ikiisha unakabidhi kwa mwezako nae anapata muda wa kukimbiza kijiti.Kitakachoniuma ni kwamba mabaharia wenzangu nawaachaje kwenye kipindi hiki
CC Zero IQ
Aiseee basi kifo kinatisha kwa maana Maiti hajui chochote kilicho nyuma yake
CC Zero IQ
MKUU AFTER HICHO KIPIGO JE ALIKUBALI KUTOA GAME AU NDO UKIAMBULIA KUMZABA MAKOFI??[emoji16][emoji16][emoji16] na sasa amebaki kuwa kumbukumbu yangu kwenye Avatar
CC Zero IQ
Pole sana mkuu. I feel youAcha kabisa mkuu yule demu bado ananiuma sana aiseeee nashindwa kumsahau kabisaaa
CC Zero IQ
Hahaa, basi acha kuchakata papuchi ili ubaki na sifa moja ya kuchakata viazi kuwa chips tu,otherwise.....😀😀[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] acha basi dada akeeeee
CC Zero IQ