Je, nikihitaji kusoma upya degree ya 2 ya HR au Public Administration, nitatumia miaka miaka 3 tena?

Je, nikihitaji kusoma upya degree ya 2 ya HR au Public Administration, nitatumia miaka miaka 3 tena?

MUNDIA

Member
Joined
Oct 5, 2024
Posts
9
Reaction score
8
Mimi ni muhitimu wa shahada ya LOCAL GOVERNMENT ADMINISTRATION AND MANAGEMENT kutoka chuo cha serikali za mitaaa mwaka 2023

Nimekuwa nikiahangaika kuomba ajira hata sekta binafsi katika ngazi ya HR na Administration ila imekua ngumu lakini kwa ngazi ya serikali pia imekua ishu mpka leo nili bahatika kwenda interview moja tu ila huku private nimekua siitwi kbsa

Sasa katika kuuliza uliza ndio nimeambiwa niuulize je nikihitaji kusoma upya degree ya 2 ya HR au Public Administration je nitatumia miaka mi 3 tena?? Au itakua chini kwakua masomo mengi ya hizi kozi mm nimesha ya soma kwemy hii Local Government Administration and Management

Maana niligusiwa kuna kitu kama hiko naeza pata degree ya pili kwa kusoma mwaka mmoja au miwili tu,

Na alie niambia alinigusia hiyo ishu inaitwa POST GRADUATE DIPLOMA

Je, kuna ukweli katika hili naombeni msaada wenu wa mawazo juu ya haya
 
Ndugu mm nilisoma HKL Nikataka somea sheria au Maswala ya Video and sound engineering kwa diploma ila nikaletewa ushaur kwamba kozi hii ni mpya niisomee cz kwa lvl ya diploma yake ina ajira so mpka ku establish degree yake uhitji utakua mkubwa lkn at the end of the day mambo yamekua magumi ila diploma yake ajira zina mwagika kila siku
Mimi swali langu Kwa nini vijana mnasoma un proffessional degrees ?
 
Shukran kiongozi kwa majibu yako, mm ni
Pole Sana... Kwanza Kabisa wewe ni jinsia gani??? Ili upewe nondo za kutoboa Bila kufuata huo mtazamo wako... Mana hakuna degree ya mwaka mmoja wala miwili!!!

Ss mtu wa arts ukitoa ualim labda sheria laziama usomee hayo unproffessional au ajikite veta kinyume na hapo lazima upige mishe izo
Kk kaangalie ajira za utendaji zinavyo toka kwa lvl ya diploma kwa kozi hii hii nilio somea but upnde wangu shida nina over qualifications
 
Yaan nina maana ya kwamba nilisomea shahada uongozi na utawala wa Serikali za mitaa ila hii imeku ngumu kuitwa interview kuliko Human Resource management na Public Administration, kuna watu wamenishauri nisomee hii POSTGRADUATE DIPLOMA moja kati ya POSTGRADUATED DIPLOMA IN HUMAN RESOURCE au PUBLIC ADMINISTRATION

Sasa naomba kuuliza je hii ipo katika mfumo wa ajira za serikali au ajira zake zinatoka

Na je kwa walio semea hii tushauriane viongozi kwani najua mtakua mnauelewa kiundani juu ya hili swala
 
Oya mwamba wanakuchoma Joo hiyo kitu itakupotezea muda na Mali tu.
Issue hapo ukiwa na hiyo post graduate diploma ni kazi sana hata kuona matangazo ya kazi yanayoitaji mtu wa post graduate diploma.
ata upande wa elimu wanatoaga ajira lakini mkeka ukija unakuta akuna ata mmoja aliyechukuliwa.
Yani Kwa nature ya coz za utawala kusoma degree ni kujichosha na kupoteza pesa na usingizi wako bure matangazo mengi wanahitajika watu WA diploma na certificate kama unaweza soma certificate ya maendeleo ya jamii ni mwaka TU unamaliza.
lakini kama ulijichanganya ajira portal andaa nauli na chozi la kuenda kulia utumishi wafute akaunti uanze jaza upya na weka level ya certificate TU chap. Kazi utaomba, saili utaitwa sana hadi kero na naamini mojawapo itatiki.
 
Ndio nawaza nikisha soma hii post graduate diploma je kweny mfumo wa ajira wa Tanzania hii ipo au maana sijawahi kuona kazi inayo muhitaji mtu mweny hii kazi au wanaitwaje hawa watu kweny ajira hasa za serikali
Postgraduate diploma/advanced diploma ni sawa na bachelor degree
Screenshot_20241008_230655_PDF Reader.jpg
 
Kiuhalisia unatakiwa ujue unataka nini ili ujue namna Gani utakipata kozi ya HR PA ni kozi ambazo Zina idadi kubwa ya wahitimu na pia upatikanaje wake wa kazi ni changamoto so ukienda kusoma utakua unaongeza cheti kingine kwenye kabati utaongeza idadi ya wahitimu na Bado Kam ni utumishi utaitwa tu Kwa entview.....Cha muhim kila hatua unayotaka kuipiga inatakiwa iwe na maan umri unaend pesa muda next time utaambiw Chinese translation inalipa utasoma utasikia journalism inalipa utasoma Tena .
 
Hivi hili swali linaulizwa na mtu mwenye degree kweli?

Hii elimu ya siku hizi hii mmmh
 
Oya mwamba wanakuchoma Joo hiyo kitu itakupotezea muda na Mali tu.
Issue hapo ukiwa na hiyo post graduate diploma ni kazi sana hata kuona matangazo ya kazi yanayoitaji mtu wa post graduate diploma.
ata upande wa elimu wanatoaga ajira lakini mkeka ukija unakuta akuna ata mmoja aliyechukuliwa.
Yani Kwa nature ya coz za utawala kusoma degree ni kujichosha na kupoteza pesa na usingizi wako bure matangazo mengi wanahitajika watu WA diploma na certificate kama unaweza soma certificate ya maendeleo ya jamii ni mwaka TU unamaliza.
lakini kama ulijichanganya ajira portal andaa nauli na chozi la kuenda kulia utumishi wafute akaunti uanze jaza upya na weka level ya certificate TU chap. Kazi utaomba, saili utaitwa sana hadi kero na naamini mojawapo itatiki.
Huna akili kijana sasa certificate na diploma upate laki tatu si bora umpe ushaur apambane na mtaa aachane na huo ushauri wako wa kiyanki etu rud diploma au certificate kuna watu wa ovyo
 
Huna akili kijana sasa certificate na diploma upate laki tatu si bora umpe ushaur apambane na mtaa aachane na huo ushauri wako wa kiyanki etu rud diploma au certificate kuna watu wa ovyo
Ndugu nimempa ushauri kulingana na alivyouliza yeye ametoa options mbili za kumshauri asome postgraduate ya coz alozozitaja Mimi nikamwambia Bora asome certificate ni rahisi kuingia kwenye mfumo then baadae atafanya recategorizing sasa hapo ndugu yangu ndio unaponitukania sio.
Kuwa na heshima na baba zako
 
Ndugu nimempa ushauri kulingana na alivyouliza yeye ametoa options mbili za kumshauri asome postgraduate ya coz alozozitaja Mimi nikamwambia Bora asome certificate ni rahisi kuingia kwenye mfumo then baadae atafanya recategorizing sasa hapo ndugu yangu ndio unaponitukania sio.
Kuwa na heshima na baba zako
Yeye mwenyewe haelewi kitu.
 
Mimi ni muhitimu wa shahada ya LOCAL GOVERNMENT ADMINISTRATION AND MANAGEMENT kutoka chuo cha serikali za mitaaa mwaka 2023

Nimekuwa nikiahangaika kuomba ajira hata sekta binafsi katika ngazi ya HR na Administration ila imekua ngumu lakini kwa ngazi ya serikali pia imekua ishu mpka leo nili bahatika kwenda interview moja tu ila huku private nimekua siitwi kbsa

Sasa katika kuuliza uliza ndio nimeambiwa niuulize je nikihitaji kusoma upya degree ya 2 ya HR au Public Administration je nitatumia miaka mi 3 tena?? Au itakua chini kwakua masomo mengi ya hizi kozi mm nimesha ya soma kwemy hii Local Government Administration and Management

Maana niligusiwa kuna kitu kama hiko naeza pata degree ya pili kwa kusoma mwaka mmoja au miwili tu,

Na alie niambia alinigusia hiyo ishu inaitwa POST GRADUATE DIPLOMA

Je, kuna ukweli katika hili naombeni msaada wenu wa mawazo juu ya haya
Kama unamaanisha Masters ya Human resource management au public administration ndio ni miaka miwili. Lakini kama unataka kurudia Bachelor zote ni miaka mitatu. Postgraduate diploma ni mwaka mmoja. Kwa ushauri wangu hapa soma Masters.
 
Back
Top Bottom