Pure nomaa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 1,158
- 1,385
Kama ulimtongoza kitambo na you still feel that hate, then deep down bado wampenda. Hata hivo mapenzi ya kweli na dhati hayako hivo, daima one hutaka what is best for huyo ampendae aidha kakataliwa ama kakubaliwa. Unapomtongoza mtu sio lazima akukubali, maana roho bana hailazimishwi hata kidogo kupenda....... Haya baas kapata matatizo wataka kumuongeze kidonda emotionally na psychologically na on top of that ana mimba? Kua na huruma jamani.... Wanawake twapitia mengi, na whenever possible tujaribu epusha maumivu ya makusudi.
unajua kuna maradhi?
hahahahah ndo maana kuna mada The Boss alidrop tofauti ya mvulana na mwanaume.sasa dada asha jitahidi na wewe ulete mada inayotofautisha msichana na mwanamke.kwa sababu moyo aulazimishw kupenda sasa ni mimba inamlazmisha huyo dada kwa muda uhu kumpenda jamaa AU? Muongozo tafadhali!Unapomtongoza mtu sio lazima akukubali, maana roho bana hailazimishwi hata kidogo kupenda....... Haya baas kapata matatizo wataka kumuongeze kidonda emotionally na psychologically na on top of that ana mimba? Kua na huruma jamani.... Wanawake twapitia mengi, na whenever possible tujaribu epusha maumivu ya makusudi.
Gonga mzigo,sepa!