Je, nimtonye mteja kuwa amepigwa na fundi ama nikae kimya?

Mkuu hongera Kwa kumiliki biashara hiyo.

Kwahiyo GUTA huendeshi tena
 
Kula nyama nyamaza mkuu ili kesho tena fundi akipata dili arudi kukuchangia ndio Bongo hii
Ndio maana hii nchi haitakuja kuendelea kamwe sababu viongozi pamoja na raia wake wote wezi, na laana hii haita isha, hata wale wasio husika nao wameshirikishwa na wamekuwa wezi pia,
 
Mkuu ww chukua Chako kinachokuhusu km vp mwambie fundi akuachie ten ya maji maishà yaendelee,,Kwan huyo afsa yy ajui hapo nondo zinatakiwa ngapi na afiki saiti kwakee kukagua...

Mwache fundi apate Hela ya kuongaa😅😅😅
Haya ndiyo madhara ya hii nchi kukuzwa katika wizi , ona sasa raia nao wamesha kuwa na roho za wizi , yan hapo huoni tatizo?
 
Ndio maana hii nchi haitakuja kuendelea kamwe sababu viongozi pamoja na raia wake wote wezi, na laana hii haita isha, hata wale wasio husika nao wameshirikishwa na wamekuwa wezi pia,
Viongoz ndiyo wamefundisha raia kuiba
Ukosefu wa maadili umeanzia juu
Potelea pote kila mtu ale urefu wa kamba yake
 
Usiwe mnoko kula vizur na mafundi upate wateja ohoo hi dunia ni ushenz ty
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…