Saad30
JF-Expert Member
- May 26, 2020
- 2,737
- 5,464
Mkuu hongera Kwa kumiliki biashara hiyo.Kuna fundi kaja hapa kisha akampa Mteja nionge nae mteja akasema nimpe mahitaji anayo taka kisha nimtumie bili zote
Nondo pis 28 fundi aka chukuwa 14 tu
Binding ware 10 fundi kachukuwa tatu
Mifuko 20 Y cement fundi kachukuwa 10 tu
Nimeingiwa huruma sna kwani mteja anapigwa mno na ukizingatia kwa sasa upatikanaji wa pesa imekuwa kwa mbinde
Mno
Nataka nimueleza mteja kijanja ila nimekosa namna ya kumuazia na ripoti ya Leo , pia nina wasi wasi wenda wananitega pia wanizukumizie kesi ya uhujumu uchumi nina wasi wasi kweli kweli
Pia nawaza fundi akijuwakuwanimewauza je akinifanyia umafya itakuwaje
Naomba mnipe mbinu ya kufanya wakuu mteja atanilipa Leo ama kesho
Kwahiyo GUTA huendeshi tena