Mkuu hii chuma hata ikisema inanipa na pesa juu siwezi pita nayo maisha.akuachie wewe basi au utasema ni ndugu
Hahahaha,,, hutaki kutoa hela ya chipisiMkuu hii chuma hata ikisema inanipa na pesa juu siwezi pita nayo maisha.
hadi wewe unaelekea huko
Hufai hata kua kiongozi wa familia yako kama upwiru tu unakufanya ushindwe kuamua.Si rahis kutoa maamuzi ukiwa na upwiru
kama unasema hukua na nia, binti aongezewe dauKwa umri wake kwanza nimeshagaa kuwa eti anajua kubageni ,ndo mara ya kwanza leo namwita geto japo juzi nilimpa 5000 hata bila kuniomba leo namwita tuonane nashanga hizo sms nikaunganae ,yani kuku kwa mchele
Nimeandika kifupi 😀 jmn sound good sio hizo XxxHata wewe unaandikaje jmn badala uandike jamani huna tofauti na mtumiaji wa X
😀 au siohadi wewe unaelekea huko
Insha-Allah tutafika tuvijana mna safari ndefu
Basi sawa umetetea hoja yakoNimeandika kifupi 😀 jmn sound good sio hizo Xxx
Kazi kwelikweliBasi sawa umetetea hoja yako
Daah kwa u-cheap huo inaweza kuliwa na binadamu wasiopungua watano kila siku iendayo kwa Mungu.Hahahaha,,, hutaki kutoa hela ya chipisi
Mkuu una dili na machangu?
Hapana,binti ni mgeni tena bado kanona skujua kajifunzia wapi hayo,kwanza tangu aingie mitaa yetu sjawahi kumwona kidume yoyote alie karbu maana yupo serious mno ,kutoka na kaofis kangu kana tinted na kila jinsia ikingia na kutoka bila wasi maana ni huduma mhim katika jamii,nilikaita kakaingia ndo nikakaimba then nikakapa 5 kakaenda ,siku nakaitw kaje ofsini ndo kakanijibu hivyoMkuu una dili na machangu?