kson m
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 6,672
- 3,055
Anza kazi utakatishwa tamaa.unataka nyumba ukubwa gani? Anza na msingi ukiona vipi endelea na nyumba vichache with time utajikuta umemaliza.usikae ukizitolea mimacho hizo hela amina akizipitia huna bahati!!!Habari,
Me kijana wa miaka 21 naomba kuuliza nikiwa na Million 25 naweza kujenga nyumba au kijumba cha ukubwa gani?
Msaada please
Ahsanteni.