sawa sawa mkubwa,details zip unazozingumzia hapo juu,unahtaj kupew
Kwanza chuo gani?
Sihitaji mimi bali mtu yeyote anayetaka kukusaidia anaweza kukusaidia vizuri zaidi kama anajua unazungumzia chuo gani, maana itifaki na taratibu zinaweza kutofautiana chuo hadi chuo, au hata chuo kimoja muhula hadi muhula.
Humu mpaka ma dean of admission tunao wanaweza kuku PM kama wewe kijukuu una zali lako.
Halafu lazima unawakomalia kuwaonyesha kwamba ile ilikuwa ni detour tu umeenda kupata darasa vile vile kwenye ulimwengu wa kweli, darasa litakalokufanya uwe well rounded na makini zaidi ukirudi darasa la chuo.
Na ikibidi kama kuna mpango wa kukupa credit kutokana na biashara ulizofanya - na kudokumeti, fafa noma- wauzie mchongo vile vile.
Sio kila mtu anaweza kumaliza degree kwa mpigo, kuna wengine mitikas kibao inaweza kuibu, kuibuka katikati ya michongo ya chuo.
Hata Bill Gates alikipotezea chuo, tena Harvard, na hata hakurudi. Leo wote hapa tunatumia mi computer yenye software zake.
Itakuwa wewe bwana kijukuu.
Nenda, mguu wa safari hata mtume kauombea, huwezi kugagangamala tu bila kujaribu zali. Amazon.com ya bongo tutaipataje?
Ila kaa ukijua elimu ya juu bongo rohostoki nyingi sana.
Kukutana na dean of admission mwenye roho ya kupetesha watu ka nilivyokupa hapo juu si rahisi.
Wengi wao wamekaa kupiga watu chini ka
King'asti tu.
Ndo maana tunalosti, kina Einstein kibao, wanaishia kulamba vumbi tu.