wakusepa
Member
- Jan 24, 2013
- 83
- 5
Hello wana jf.
Kwa wazoefu na waliopo vyuoni je hili linawezekana.
Imepita miaka mitatu tangu niache chuo bila kutoa taarifa yoyote.na ku deal na biashara,sasa nataka kurudi chuoni nilikukowa nasoma kutokana na busines zangu kutokaa vyema..
Wakati nasoma nilipata bum asilimia 20 kwa wakati ule,na nilikatiza mwaka wa kwanza sem. Ya 2..je nifanyeje nirud?na je taarifa zangu chuo ztakuwepo.
Msaada waungwana
Kwa wazoefu na waliopo vyuoni je hili linawezekana.
Imepita miaka mitatu tangu niache chuo bila kutoa taarifa yoyote.na ku deal na biashara,sasa nataka kurudi chuoni nilikukowa nasoma kutokana na busines zangu kutokaa vyema..
Wakati nasoma nilipata bum asilimia 20 kwa wakati ule,na nilikatiza mwaka wa kwanza sem. Ya 2..je nifanyeje nirud?na je taarifa zangu chuo ztakuwepo.
Msaada waungwana