Maisha ni tofauti kwa watu tofauti.
Huyu anaweza kuongeza ujuzi darasani kwa vile karudi na "business experience".
Ni kwa sababu elimu ya juu ni bidhaa adimu tu nchini mwetu, nchi ambazo wanaelewa elimu ni nini halafu inaendeshwa kiushindani hamna tatizo mtu kurudi shule baada ya kupiga kazi.
Watu wanaanza kukuelewa kwamba inawezekana umepata matatizo kabla hata hujawaeleza vizuri.
Kweli mkuu kapata experience,... anajua nini maana ya faida na hasara halafu huwezi kugoma shule kirahisi. Jitahidi urudi mambo yatakua bomba tu masomo yote 'pata' tupu.Maisha ni tofauti kwa watu tofauti.
Huyu anaweza kuongeza ujuzi darasani kwa vile karudi na "business experience".
Ni kwa sababu elimu ya juu ni bidhaa adimu tu nchini mwetu, nchi ambazo wanaelewa elimu ni nini halafu inaendeshwa kiushindani hamna tatizo mtu kurudi shule baada ya kupiga kazi.
Watu wanaanza kukuelewa kwamba inawezekana umepata matatizo kabla hata hujawaeleza vizuri.
Kweli mkuu kapata experience,... anajua nini maana ya faida na hasara halafu huwezi kugoma shule kirahisi. Jitahidi urudi mambo yatakua bomba tu masomo yote 'pata' tupu.
Tatizo langu sio kuacha chuo akajaribu means nyingine ya kutoka. Tatizo langu ni kuacha chuo bila utaratibu. Hivi umeshawahinkukutana na mtu ambae hajawahi kuaccomplish anything? Kila anachofanya hamalizi tukasema kashindwa ama kaweza. Angeandika barua hapo ku-postpone hiyo ada aliyolipiwa, muda akiosoma kidogo na hata course work ingebakia nae!
Si bora yeye kaenda kujaribu biashara. Kuna walioenda kujaribu ndoa na akibuma ama akiona haja ya kujiongeza anarudi na kuanza upya.
Kwanza chuo gani?
Sihitaji mimi bali mtu yeyote anayetaka kukusaidia anaweza kukusaidia vizuri zaidi kama anajua unazungumzia chuo gani, maana itifaki na taratibu zinaweza kutofautiana chuo hadi chuo, au hata chuo kimoja muhula hadi muhula.
Humu mpaka ma dean of admission tunao wanaweza kuku PM kama wewe kijukuu una zali lako.
Halafu lazima unawakomalia kuwaonyesha kwamba ile ilikuwa ni detour tu umeenda kupata darasa vile vile kwenye ulimwengu wa kweli, darasa litakalokufanya uwe well rounded na makini zaidi ukirudi darasa la chuo.
Na ikibidi kama kuna mpango wa kukupa credit kutokana na biashara ulizofanya - na kudokumeti, fafa noma- wauzie mchongo vile vile.
Sio kila mtu anaweza kumaliza degree kwa mpigo, kuna wengine mitikas kibao inaweza kuibu, kuibuka katikati ya michongo ya chuo.
Hata Bill Gates alikipotezea chuo, tena Harvard, na hata hakurudi. Leo wote hapa tunatumia mi computer yenye software zake.
Itakuwa wewe bwana kijukuu.
Nenda, mguu wa safari hata mtume kauombea, huwezi kugagangamala tu bila kujaribu zali. Amazon.com ya bongo tutaipataje?
Ila kaa ukijua elimu ya juu bongo rohostoki nyingi sana.
Kukutana na dean of admission mwenye roho ya kupetesha watu ka nilivyokupa hapo juu si rahisi.
Wengi wao wamekaa kupiga watu chini ka King'asti tu.
Ndo maana tunalosti, kina Einstein kibao, wanaishia kulamba vumbi tu.
Umaskini wetu tu, watu wenye system zao washafikiria kwamba kuna mtu anaweza kwenda likizo kuangalia Persian ruins akadakwa na serikali ya Iran na kufungwa miaka.
Alikuwa hana hata muda wa kuandika barua chuoni.
Na kuna process ya kum-readmit back, kumpa credit zake, na hata kwenye darasa linaloweza kuhusika akatoa experience yake ya jela za Iran.
Watu weeeeee.
Bongo tu elimu ya juu almasi. Kuwa readmitted mpaka uje na kimemo cha mkuu wa mkoa.
Afu usiombe we CHADEMA na mkuu wa mkoa awe CCM rohostoki ka Mulongo na dean of admission umemkuta kakaa King'asti.
Utarudi kubangaiza biashara kabla hata ya kutoa neno moja.
Umaskini wetu tu, watu wenye system zao washafikiria kwamba kuna mtu anaweza kwenda likizo kuangalia Persian ruins akadakwa na serikali ya Iran na kufungwa miaka.
Alikuwa hana hata muda wa kuandika barua chuoni.
Na kuna process ya kum-readmit back, kumpa credit zake, na hata kwenye darasa linaloweza kuhusika akatoa experience yake ya jela za Iran.
Watu weeeeee.
Bongo tu elimu ya juu almasi. Kuwa readmitted mpaka uje na kimemo cha mkuu wa mkoa.
Afu usiombe we CHADEMA na mkuu wa mkoa awe CCM rohostoki ka Mulongo na dean of admission umemkuta kakaa King'asti.
Utarudi kubangaiza biashara kabla hata ya kutoa neno moja.
ahsante mkuu ntampata wapi huyu dr.
Huyu yupo hapo UDSM, mtumie private msg humu humu JF through hili jina Kitila Mkumbo naye atakupa ushauri pia na no# ya simu atakupa ili muweze kuelewana vizur kwani amekuwa akisaidia wengi ktk ushauri wa mambo ya kitaaluma.
Huyu yupo hapo UDSM, mtumie private msg humu humu JF through hili jina Kitila Mkumbo naye atakupa ushauri pia na no# ya simu atakupa ili muweze kuelewana vizur kwani amekuwa akisaidia wengi ktk ushauri wa mambo ya kitaaluma.