Je ninaweza kurudi chuo baada ya kuacha bila taarifa yoyote

Je ninaweza kurudi chuo baada ya kuacha bila taarifa yoyote

Tatizo langu sio kuacha chuo akajaribu means nyingine ya kutoka. Tatizo langu ni kuacha chuo bila utaratibu. Hivi umeshawahinkukutana na mtu ambae hajawahi kuaccomplish anything? Kila anachofanya hamalizi tukasema kashindwa ama kaweza. Angeandika barua hapo ku-postpone hiyo ada aliyolipiwa, muda akiosoma kidogo na hata course work ingebakia nae!

Si bora yeye kaenda kujaribu biashara. Kuna walioenda kujaribu ndoa na akibuma ama akiona haja ya kujiongeza anarudi na kuanza upya.
Maisha ni tofauti kwa watu tofauti.

Huyu anaweza kuongeza ujuzi darasani kwa vile karudi na "business experience".

Ni kwa sababu elimu ya juu ni bidhaa adimu tu nchini mwetu, nchi ambazo wanaelewa elimu ni nini halafu inaendeshwa kiushindani hamna tatizo mtu kurudi shule baada ya kupiga kazi.

Watu wanaanza kukuelewa kwamba inawezekana umepata matatizo kabla hata hujawaeleza vizuri.
 
Maisha ni tofauti kwa watu tofauti.

Huyu anaweza kuongeza ujuzi darasani kwa vile karudi na "business experience".

Ni kwa sababu elimu ya juu ni bidhaa adimu tu nchini mwetu, nchi ambazo wanaelewa elimu ni nini halafu inaendeshwa kiushindani hamna tatizo mtu kurudi shule baada ya kupiga kazi.

Watu wanaanza kukuelewa kwamba inawezekana umepata matatizo kabla hata hujawaeleza vizuri.
Kweli mkuu kapata experience,... anajua nini maana ya faida na hasara halafu huwezi kugoma shule kirahisi. Jitahidi urudi mambo yatakua bomba tu masomo yote 'pata' tupu.
 
Afu weeh Kiranga mambo ya kunipa label i will shoot you! Mi namkemea asirudie uzembe bwana. Afu vyo siku hizi wanadahiliwa na tcu. Kwa hiyo haijalishi alikuwa wapi kabla hajajidropisha.
 
Last edited by a moderator:
Nashindwa kukushauri kwa umakini kutokana na ID unayoitumia... Naona yatajirudia yaleyale.
 
Tatizo langu sio kuacha chuo akajaribu means nyingine ya kutoka. Tatizo langu ni kuacha chuo bila utaratibu. Hivi umeshawahinkukutana na mtu ambae hajawahi kuaccomplish anything? Kila anachofanya hamalizi tukasema kashindwa ama kaweza. Angeandika barua hapo ku-postpone hiyo ada aliyolipiwa, muda akiosoma kidogo na hata course work ingebakia nae!

Si bora yeye kaenda kujaribu biashara. Kuna walioenda kujaribu ndoa na akibuma ama akiona haja ya kujiongeza anarudi na kuanza upya.

Umaskini wetu tu, watu wenye system zao washafikiria kwamba kuna mtu anaweza kwenda likizo kuangalia Persian ruins akadakwa na serikali ya Iran na kufungwa miaka.

Alikuwa hana hata muda wa kuandika barua chuoni.

Na kuna process ya kum-readmit back, kumpa credit zake, na hata kwenye darasa linaloweza kuhusika akatoa experience yake ya jela za Iran.

Watu weeeeee.

Bongo tu elimu ya juu almasi. Kuwa readmitted mpaka uje na kimemo cha mkuu wa mkoa.

Afu usiombe we CHADEMA na mkuu wa mkoa awe CCM rohostoki ka Mulongo na dean of admission umemkuta kakaa King'asti.

Utarudi kubangaiza biashara kabla hata ya kutoa neno moja.
 
(TEKU)
Kwanza chuo gani?

Sihitaji mimi bali mtu yeyote anayetaka kukusaidia anaweza kukusaidia vizuri zaidi kama anajua unazungumzia chuo gani, maana itifaki na taratibu zinaweza kutofautiana chuo hadi chuo, au hata chuo kimoja muhula hadi muhula.

Humu mpaka ma dean of admission tunao wanaweza kuku PM kama wewe kijukuu una zali lako.

Halafu lazima unawakomalia kuwaonyesha kwamba ile ilikuwa ni detour tu umeenda kupata darasa vile vile kwenye ulimwengu wa kweli, darasa litakalokufanya uwe well rounded na makini zaidi ukirudi darasa la chuo.

Na ikibidi kama kuna mpango wa kukupa credit kutokana na biashara ulizofanya - na kudokumeti, fafa noma- wauzie mchongo vile vile.

Sio kila mtu anaweza kumaliza degree kwa mpigo, kuna wengine mitikas kibao inaweza kuibu, kuibuka katikati ya michongo ya chuo.

Hata Bill Gates alikipotezea chuo, tena Harvard, na hata hakurudi. Leo wote hapa tunatumia mi computer yenye software zake.

Itakuwa wewe bwana kijukuu.

Nenda, mguu wa safari hata mtume kauombea, huwezi kugagangamala tu bila kujaribu zali. Amazon.com ya bongo tutaipataje?

Ila kaa ukijua elimu ya juu bongo rohostoki nyingi sana.

Kukutana na dean of admission mwenye roho ya kupetesha watu ka nilivyokupa hapo juu si rahisi.

Wengi wao wamekaa kupiga watu chini ka King'asti tu.

Ndo maana tunalosti, kina Einstein kibao, wanaishia kulamba vumbi tu.

mkuu ni CHUO CHA .TEOFILO KISANJI (TEKU) MBEYA
 
Kweli mkuu kapata experience,... anajua nini maana ya faida na hasara halafu huwezi kugoma shule kirahisi. Jitahidi urudi mambo yatakua bomba tu masomo yote 'pata' tupu.

thanx mkuu,
 
Umaskini wetu tu, watu wenye system zao washafikiria kwamba kuna mtu anaweza kwenda likizo kuangalia Persian ruins akadakwa na serikali ya Iran na kufungwa miaka.

Alikuwa hana hata muda wa kuandika barua chuoni.

Na kuna process ya kum-readmit back, kumpa credit zake, na hata kwenye darasa linaloweza kuhusika akatoa experience yake ya jela za Iran.

Watu weeeeee.

Bongo tu elimu ya juu almasi. Kuwa readmitted mpaka uje na kimemo cha mkuu wa mkoa.

Afu usiombe we CHADEMA na mkuu wa mkoa awe CCM rohostoki ka Mulongo na dean of admission umemkuta kakaa King'asti.

Utarudi kubangaiza biashara kabla hata ya kutoa neno moja.

jf mpo ju sana napata skills tofaut hapo,yote nayafanyia kaz
 
Kama ana a good explanation why mbona inawezekana kuwa re-admitted tu? Kuna mkaka alikuwa anakaa simanjiro enzi hizo hakuna umeme wala magazeti. Baada ya mgomo chuo na kufukuzwa kwa miezi 3, akachoka hata kufuatilia matangazo. Alikaa home kama 6 months hivi anashtuka wenzie walisharudi chuo na kumaliza semester. Alienda kujieleza tu situation, wakamrudisha the following year.

Huyu wasiwasi wangu ni kuwa hakuwa na sababu nzuri ya kusepa. Na hicho chuo chake hata documentation ni tatizo. 3 years back sijui kama tcu hata ilikuwetpo. Inabidi aanze tu upya aisee.

In my opinion kwa sababu ada nahisi ni tatizo bado nadhani angenufaika kwa kusaka kibarua kwa wahindi huku anapiga book open university. Akiwa kwa wahindi anaweza hata kukopa kwa mshahara na kuanza biashara upya, taking the advantage kwamba ameshajua alikosea wapi.
Umaskini wetu tu, watu wenye system zao washafikiria kwamba kuna mtu anaweza kwenda likizo kuangalia Persian ruins akadakwa na serikali ya Iran na kufungwa miaka.

Alikuwa hana hata muda wa kuandika barua chuoni.

Na kuna process ya kum-readmit back, kumpa credit zake, na hata kwenye darasa linaloweza kuhusika akatoa experience yake ya jela za Iran.

Watu weeeeee.

Bongo tu elimu ya juu almasi. Kuwa readmitted mpaka uje na kimemo cha mkuu wa mkoa.

Afu usiombe we CHADEMA na mkuu wa mkoa awe CCM rohostoki ka Mulongo na dean of admission umemkuta kakaa King'asti.

Utarudi kubangaiza biashara kabla hata ya kutoa neno moja.
 
ahsante mkuu ntampata wapi huyu dr.

Huyu yupo hapo UDSM, mtumie private msg humu humu JF through hili jina Kitila Mkumbo naye atakupa ushauri pia na no# ya simu atakupa ili muweze kuelewana vizur kwani amekuwa akisaidia wengi ktk ushauri wa mambo ya kitaaluma.
 
Last edited by a moderator:
Huyu yupo hapo UDSM, mtumie private msg humu humu JF through hili jina Kitila Mkumbo naye atakupa ushauri pia na no# ya simu atakupa ili muweze kuelewana vizur kwani amekuwa akisaidia wengi ktk ushauri wa mambo ya kitaaluma.

ahsante mkuu
 
Last edited by a moderator:
Huyu yupo hapo UDSM, mtumie private msg humu humu JF through hili jina Kitila Mkumbo naye atakupa ushauri pia na no# ya simu atakupa ili muweze kuelewana vizur kwani amekuwa akisaidia wengi ktk ushauri wa mambo ya kitaaluma.



mia amtafute Dr Kitila Mkumbo atamsaidia
 
Last edited by a moderator:
weka jina lachuo mkuu mbona unaficha ficha...na ulikua unasoma nini na kwa level gani??
 
Back
Top Bottom