FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
1.) Je, ni shillingi za kiTanzania trillion ngapi hutumika na waTz kwa mwaka kuagiza magari ya kutembelea? Na je, baada ya zuio hilo matrillion hayo wanaweza kuyatumia kwenye nyanja ipi kama mbadala? Ujenzi au kilimo?
2.) Je, mikangafu inayoozea gereji juu ya mawe inaweza ikapanda thamani na kupata soko ghafla baada ya zuio? Gereji zinaweza kupata wateja wengi wa ghafla wanaotaka kuboresha magari yao ya zamani kwa kutumia pesa walizotaka kutumia kuagiza gari jipya? Je, kuna ajira mpya zinaweza kujitokeza za ufundi, je ni ngapi?
3.) Je, zuio hilo linaweza kuchagiza karakana ndogo ndogo za kuunganisha magari? Mfano kuunda body zenye design nzuri na kutumia engine , gear box , diff. used toka nje (Assembly) na kuyapa magari yao brand names zao na wakapata udhibitisho wa TBS na yakasajiliwa TRA na kupewa namba mpya kabisa kama magari mapya made in Tanzania?
4.) Je, zuio hilo linaweza kuchagiza uharakishwaji wa miradi ya usafiri ya umma kama BRT phase 2 -6?
5.) Je, hili linaweza kulazimisha uanzishwaji wa viwanda kamili vya magari nchini? Nini kitatokea endapo zuio hili likaja mapema zaidi kuliko ambavyo wanaweza kuwa wamepanga?
2.) Je, mikangafu inayoozea gereji juu ya mawe inaweza ikapanda thamani na kupata soko ghafla baada ya zuio? Gereji zinaweza kupata wateja wengi wa ghafla wanaotaka kuboresha magari yao ya zamani kwa kutumia pesa walizotaka kutumia kuagiza gari jipya? Je, kuna ajira mpya zinaweza kujitokeza za ufundi, je ni ngapi?
3.) Je, zuio hilo linaweza kuchagiza karakana ndogo ndogo za kuunganisha magari? Mfano kuunda body zenye design nzuri na kutumia engine , gear box , diff. used toka nje (Assembly) na kuyapa magari yao brand names zao na wakapata udhibitisho wa TBS na yakasajiliwa TRA na kupewa namba mpya kabisa kama magari mapya made in Tanzania?
4.) Je, zuio hilo linaweza kuchagiza uharakishwaji wa miradi ya usafiri ya umma kama BRT phase 2 -6?
5.) Je, hili linaweza kulazimisha uanzishwaji wa viwanda kamili vya magari nchini? Nini kitatokea endapo zuio hili likaja mapema zaidi kuliko ambavyo wanaweza kuwa wamepanga?