jibu unalo mwenyewe nauamuzi niwako. kwanini nasema hivyo mapenzi ni siri ya watu wawili sidhani kama mtu baki anweza kuingilia maana mapenzi naweza kufananisha na kidonda ambacho huacha kovu mwilini ambalo halisahauliki maishani kila la heri
Mmmh, kupendana tunapendana sana. Shida ni kuwa, ni sawa? Kama hakuna shida ni kwa namna gani?
Dah!huo ni mchanganyiko maalum,Best ni kweli busara inahitajika ndo maana nakuja kwenu.
Kuhusu Mila ni mchanganyiko mtupu wa makabila na hata sijui ni mila ipi ya kufuata.
Huyu Mwanaume anayenipenda ni kabila XY. Baba wa Kumzaa kabila X. Baba aliyemlea toka mdogo kabila Y. Mwama yake ni kabila Z.
Mimi baba yangu ni kabila Q na ni mchanganyiko wa makabila mawili. Mama yangu kabila lake ni W.
Nimelewa na ndugu wengine so hata mila sizijui. Same kwa huyo Mwanaume A. labda nianze kuulizia. Ila kabla ya hapo ngoja nipate ushauri kwanza.
Mkuu hawajawahi kuoana ni walizaa tu enzi za ujana wao. Na je, hilo unaloliongelea unaweza ukanipa source yake? Bi bible au Kimaadili au Kijamii tu?
Dah!huo ni mchanganyiko maalum,
Pamoja na yote uliza kwanza je mila zenu zinaruhusu?
Then vp kuhusu huyo muoaji coz nahisi keshajua huo mseto uliotokea yeye anasemaje?
[/TD][TABLE="width: 95%"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]20:17[/TD]
[TD]And if a man shall take his sister, his father's daughter, or his mother's daughter, and see her nakedness, and she see his nakedness; it is a wicked thing; and they shall be cut off in the sight of their people: he hath uncovered his sister's nakedness; he shall bear his iniquity.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
Wewe na A hamjashare baba wala mama, kwahiyo hamna shida. Ila kwa C ndio ingeleta shida kidogo sababu wao wameshare B.
achana nao kabisa ,dunia hii ukipata kamatashosti umemsoma mnyamahozo hapo juu na badili tabia?
Asante kwa ushauri.
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Asante Mkuu. Mbona sijaona connection yoyote kwenye hii kama umesoma vyema posti yangu. Au mimi ndo sielewi?