kindikinyer leborosier
JF-Expert Member
- Jan 6, 2018
- 456
- 833
Habari wanajamii? Kama Uzi unavyojieleza, Toka 2018 nimekuwa mwalimu wa hiari WA somo la fizikia, kutokana na kukosa kazi ya taaluma niliyoisomea, nimesoma Bsc. Information systems, nilikua mnyonge sana Kwan private schools hata muda WA kwenda kwenye interview huupati.
Jana nimepigiwa simu kwenye Moja ya mitandao ya simu, wanahitaji Technician, sijui mshahara wao utakuwaje, japo mara kadhaa nimesikia Wana kiwango kidogo.
Ninawaza nifanye Nini, huku kwenye uwalimu nilifikia 900'000 kwa mwezi japo Bado ni mdogo, huku kwenye taaluma yangu naona walau nianze ukurasa mpya wa nilichokisomea kwani nilikua sioni miaka kadhaa mbele patakuwaje!
Asante.
Kijana wenu, ni katika harakati za kuyapambania maisha.
Jana nimepigiwa simu kwenye Moja ya mitandao ya simu, wanahitaji Technician, sijui mshahara wao utakuwaje, japo mara kadhaa nimesikia Wana kiwango kidogo.
Ninawaza nifanye Nini, huku kwenye uwalimu nilifikia 900'000 kwa mwezi japo Bado ni mdogo, huku kwenye taaluma yangu naona walau nianze ukurasa mpya wa nilichokisomea kwani nilikua sioni miaka kadhaa mbele patakuwaje!
Asante.
Kijana wenu, ni katika harakati za kuyapambania maisha.