Ultimate
JF-Expert Member
- Nov 29, 2016
- 739
- 1,888
Yangu ni kumtafuta guru wa security kama hilo eneo bado hujawa master. Mlipe guru fanya sehemu yako afanye sehemu yake.
My doubt is kama tunaweza kupata window za billgate utafanya nini kuwazuia watu ambao kazi yao ni kuhack na kutumia vya wenzao.
Zingatia wazo la mdau hapo juu. Weka gharama ndogo ili hacker asishawishike maana haitamlipa.
Jambo lingine unda virus, mkuda yoyote atayefanya jaribio la kupata free access basi naye apate chake.
Hapa sina utaalamu kuwa kama ukiambatanisha virus je anaweza bypass antivirus ya user iwapo mtumiaji atakiuka licence. Sijajua vile vile kama inakubarika kisheria.
Wataalamu bobevu wanaweza changia hapa kama inakubarika na inawezekana.
Ulicho andika hapa ulisha wahi kuki apply?