Mgambilwa ni mntu
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 2,869
- 3,187
Kupitia Utafiti wa Zecharia Sitchin mwaka 1976 "The Earth Chronicles" juu ya maandishi ya 14 tablets yaliyoandikwa na Mfalme wa Sumeria (Mesopotamia), Enki (miungu ya Annunaki); unaonyesha kuwa, baada ya miungu ya Annunaki waliotoka Sayari ya Nibiru kuzaa na wanadamu waliowaumba purposely kuchimba dhahabu ya kuijenga Nibiru, ilipelekea ongezeko kubwa la wanadamu kuliko idadi ya miungu ya Annunaki iliyohamia duniani, hali iliyowaudhi Annunaki na hivyo Mfalme wao aishie Nibiru, Ani aliamuru kuletwa gharika ili kufutilia mbali uso wa wanadamu na Annunaki waliotamani kubaki duniani.
Hata hivyo, Enki, Ali muamuru kwa siri Noah atengeneze Safina kwa kuwa, gharika ilikuwa njiani. Enki alimuandalia DNAs za wanyama na viumbe wote ndani ya kibox na kumpelekea Noah. Gharika ilipokuja iliteketeza viumbe karibia vyote (but siyo vyote) duniani. Baada ya gharika Kamanda wa Duniani alikasirika sana hadi kutaka kumuua Enki, alipogundua kuwa Enki ndiye aliyeokoa uzao wa mwanadamu (Noah) usiangamie kwa gharika. Hata hivyo alieleweshwa na Enki so akaridhia.
Hata hivyo, Enki, Ali muamuru kwa siri Noah atengeneze Safina kwa kuwa, gharika ilikuwa njiani. Enki alimuandalia DNAs za wanyama na viumbe wote ndani ya kibox na kumpelekea Noah. Gharika ilipokuja iliteketeza viumbe karibia vyote (but siyo vyote) duniani. Baada ya gharika Kamanda wa Duniani alikasirika sana hadi kutaka kumuua Enki, alipogundua kuwa Enki ndiye aliyeokoa uzao wa mwanadamu (Noah) usiangamie kwa gharika. Hata hivyo alieleweshwa na Enki so akaridhia.
Last edited: