JE NTAWEZA KUTUMIA BATTERY CHINI YA 6 KWENYE HOLDER YA BATTERY 6

JE NTAWEZA KUTUMIA BATTERY CHINI YA 6 KWENYE HOLDER YA BATTERY 6

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
51yOGLEWgLL._AC_SY400_.jpg


Habarini wadau.

kuna sehem haina umeme na inalazimu kutumia torch kwa ajili ya mwanga, sasa hii tochi ina battery moja na kila siku inabidi uweke battery mpya.

hapo kwa mwezi ni kama elf 15.

hio sehem nikawafundisha kuunganisha battery 2 kila zikiisha, nazo zikiisha zinaunganishwa 4, zikipungua uwezo zinaunganishwa 6 kama zamani vijinini walivyokuwa wanaunganisha mabetri mengi kwajili ya radio za mkulima.

Sasa katika pita zangu mtandani nimekuta kuna holder za battery 6 kama hio ya kwenye picha sema nayoitaka ni zile za battery kubwa za jero, bei nakumbuka haizidi elf 7

Sasa swali langu, je nikiweka mbili na ku connect kwenye torch itakubali?
 
Jikumbushe Physics ya olevo kuhusu battery connections

1. Series connection na
2. Parallel connections
 
Jikumbushe Physics ya olevo kuhusu battery connections

1. Series connection na
2. Parallel connections
Mkuu ni vema ungenisaidia kwa kunisaidia kunijibu na sio kuniambia nirudie kupitia notes, Physics sikuwa na interest nayo, kuanzia form 3, form 6 hadi degree nilijikita na masomo ya uhasibu.
 
View attachment 1664124

Habarini wadau.

kuna sehem haina umeme na inalazimu kutumia torch kwa ajili ya mwanga, sasa hii tochi ina battery moja na kila siku inabidi uweke battery mpya.

hapo kwa mwezi ni kama elf 15.

hio sehem nikawafundisha kuunganisha battery 2 kila zikiisha, nazo zikiisha zinaunganishwa 4, zikipungua uwezo zinaunganishwa 6 kama zamani vijinini walivyokuwa wanaunganisha mabetri mengi kwajili ya radio za mkulima.

Sasa katika pita zangu mtandani nimekuta kuna holder za battery 6 kama hio ya kwenye picha sema nayoitaka ni zile za battery kubwa za jero, bei nakumbuka haizidi elf 7

Sasa swali langu, je nikiweka mbili na ku connect kwenye torch itakubali?
Kama hiyo holder inaziweka battery in series (Uwezekano mkubwa ni series kwakuwa sio recheageable)

Connect terminal zote ambazo hazina battery kama inavyoonekana kwenye picha hapa....
 

Attachments

  • Screenshot_2020-12-31-21-52-30~2.png
    Screenshot_2020-12-31-21-52-30~2.png
    132.4 KB · Views: 2
Kama hiyo holder inaziweka battery in series (Uwezekano mkubwa ni series kwakuwa sio recheageable)

Connect terminal zote ambazo hazina battery kama inavyoonekana kwenye picha hapa....
Shukrani mkuu, kwa hio mfano nikiweka battery tatu humo inabidi ni connect na waya hizo seheme tatu ulizochora na waya? haina madhara labda kama kulipuka au mengine?

na je mfano nisipoconnect na waya nikaweka tu battery ambazo zimeisha kabisa, hazitapunguza nguvu kweny zile 3 ambazo nmeziweka?
 
View attachment 1664124

Habarini wadau.

kuna sehem haina umeme na inalazimu kutumia torch kwa ajili ya mwanga, sasa hii tochi ina battery moja na kila siku inabidi uweke battery mpya.

hapo kwa mwezi ni kama elf 15.

hio sehem nikawafundisha kuunganisha battery 2 kila zikiisha, nazo zikiisha zinaunganishwa 4, zikipungua uwezo zinaunganishwa 6 kama zamani vijinini walivyokuwa wanaunganisha mabetri mengi kwajili ya radio za mkulima.

Sasa katika pita zangu mtandani nimekuta kuna holder za battery 6 kama hio ya kwenye picha sema nayoitaka ni zile za battery kubwa za jero, bei nakumbuka haizidi elf 7

Sasa swali langu, je nikiweka mbili na ku connect kwenye torch itakubali?
Kiongozi hilo suala linawezekana ila
Kwa kuwa changamoto yako ni kupata Mwanga, nakushauri kuwa watu sikuhizi wamehamia kwenye Sola (umeme wa jua)
ungejichanga ukawanunulia zile taa nafikiri za shs 10,000 kwa moja, hiyo biashara ya betrii ingeisha kwani kazi yao ni kuanika tu.
Huo utaratibu wa kutumia betri kwa ajili ya tochi kijijini kwa maisha ya sasa sio rafiki kwani huongeza gharama za maisha
Mwisho: Ungeweza kusema kama upo mkoa wa pembezoni ambapo sola hazipatikani ili uelekezwe pa kuzipata
 
Shukrani mkuu, kwa hio mfano nikiweka battery tatu humo inabidi ni connect na waya hizo seheme tatu ulizochora na waya? haina madhara labda kama kulipuka au mengine?

na je mfano nisipoconnect na waya nikaweka tu battery ambazo zimeisha kabisa, hazitapunguza nguvu kweny zile 3 ambazo nmeziweka?
Tumia waya kuconnect, usitumie Battery chakavu badala ya waya (Battery chakavu ina resistance kubwa mno).

Pili ungesema matumizi yako pengine tungekushauri kwa ufasaha zaidi
 
Kiongozi hilo suala linawezekana ila
Kwa kuwa changamoto yako ni kupata Mwanga, nakushauri kuwa watu sikuhizi wamehamia kwenye Sola (umeme wa jua)
ungejichanga ukawanunulia zile taa nafikiri za shs 10,000 kwa moja, hiyo biashara ya betrii ingeisha kwani kazi yao ni kuanika tu.
Huo utaratibu wa kutumia betri kwa ajili ya tochi kijijini kwa maisha ya sasa sio rafiki kwani huongeza gharama za maisha
Mwisho: Ungeweza kusema kama upo mkoa wa pembezoni ambapo sola hazipatikani ili uelekezwe pa kuzipata
hio tochi inatumika kwenye choo cha nje, ni kijijini
Pili ungesema matumizi yako pengine tungekushauri kwa ufasaha zaidi
Matumizi ni ya choo cha nje ambacho kinatumika na vijana wa kiume wanaolala vyumba vya nje ya nyumba kuu, ni kijijni
 
hio tochi inatumika kwenye choo cha nje, ni kijijini

Matumizi ni ya choo cha nje ambacho kinatumika na vijana wa kiume wanaolala vyumba vya nje ya nyumba kuu, ni kijijni
Mkuu kwanini usitumie alternative ya kununua Taa ya solar au tochi ya solar , inaweza kugharimu elfu tano (5000) hadi eltu kumi na tano (15,000) na itaokoa sana gharama.
 

Attachments

  • IMG_20210101_084053.jpg
    IMG_20210101_084053.jpg
    87.2 KB · Views: 2
Back
Top Bottom