Je, nyumba za mawaziri Mikocheni nani anaishi kwa sasa?

Je, nyumba za mawaziri Mikocheni nani anaishi kwa sasa?

Naona zipo zipo tu kuna nyingine kuna watu ndani nyingine majani yameshazunguka nyumba nzima hakuna watu
 
Baada ya serikali kuhamia Dodoma ni wazi kuwa mawaziri wote sasa wanatakiwa kuishi Dodoma jirani na ofisi zao.
Je hizi nyumba zao za mikocheni kwa sasa hivi nani anaishi humo?
Nashauri tupewe watumishi wa DSM au serikali izipangishe kwa wanachi kwa kodi ndogo ili kila mwananchi afaidi matunda ya nchi yake.

"HESLB 6% kila mwaka ni wizi"
Ni rahisi kumpa nyumba Dodoma na Dar kuliko kumkodia hoteli, amini usiamini ni hivyo.
 
Hizi nyumba kwa huku DSM sasa hazina kazi kwanza wengi wana nyumba zao huku hawahitaji nyumba za serikali.
Naona zipo zipo tu kuna nyingine kuna watu ndani nyingine majani yameshazunguka nyumba nzima hakuna watu
 
Back
Top Bottom