- Thread starter
- #21
Kwahiyo wana nyumba DSM na Dodoma?Wanaishi wao,kwani wakiwa dar wanaishi wapi mazee?
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Ndio maana prof anaacha kufundisha anaenda kugombea ubunge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo wana nyumba DSM na Dodoma?Wanaishi wao,kwani wakiwa dar wanaishi wapi mazee?
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kila mwananchi aonje utamu
HahahaaMkipewa hamchelewi kuanza kufugia ng'ombe na kuku
Ndy hivyo mkuu ndy viongoziKwahiyo wana nyumba DSM na Dodoma?
Ndio maana prof anaacha kufundisha anaenda kugombea ubunge
Ni rahisi kumpa nyumba Dodoma na Dar kuliko kumkodia hoteli, amini usiamini ni hivyo.Baada ya serikali kuhamia Dodoma ni wazi kuwa mawaziri wote sasa wanatakiwa kuishi Dodoma jirani na ofisi zao.
Je hizi nyumba zao za mikocheni kwa sasa hivi nani anaishi humo?
Nashauri tupewe watumishi wa DSM au serikali izipangishe kwa wanachi kwa kodi ndogo ili kila mwananchi afaidi matunda ya nchi yake.
"HESLB 6% kila mwaka ni wizi"
Naona zipo zipo tu kuna nyingine kuna watu ndani nyingine majani yameshazunguka nyumba nzima hakuna watu
Ni kweliNi rahisi kumpa nyumba Dodoma na Dar kuliko kumkodia hoteli, amini usiamini ni hivyo.
Ndy hivyo mkuu ndy viongozi
Nyumba zao za obay si ziliuzwaaa nyingi
Makazi yao ndy hayo sasa
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app