Alejandroz
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 329
- 413
na wasiwasi ndiyo akili, mchwa ni mdudu wa mwisho kabisa kumuhofiawasiwasi
tumia viwatilifu vya kilimo , wanakufa humo humo ndaniWadudu ni tatizo nimeshtuka,hivi naweza kupaka oil chafu kwenye kenchi hata baada ya kuezeka na kupiga blandering?
Kama nini tunaomba msaaada zaidi hapo hata kwa sms kama unaweza0658747377tumia viwatilifu vya kilimo , wanakufa humo humo ndani
Kama nini tunaomba msaaada zaidi hapo hata kwa sms kama unaweza0658747377
Umenifurahisha sana, petrol ni compound ambayo ni volatile sana, ukiimwaga mahari ni dk chache inakuwa ime evaporateDuh petrol ni hatari sana. Siku ukiwasha mshumaa au jiko la gesi ikakamata kwenye kenchi huna nyumba. Nani alikushauri kufanya hicho kitu? Risk sana aisee usilale kwenye hiyo nyumba kabla huja-neutralize hiyo kemikali hatari kuliko zote duniani
Jipe moyo tuUmenifurahisha sana, petrol ni compound ambayo ni volatile sana, ukiimwaga mahari ni dk chache inakuwa ime evaporate
Ni amekosea tu kueleza / kuandikaHivi kuna oil ya petrol[emoji848]
Hiko kiwatilifu unapaka kwenye mbao au unapulizia?kiwatilifu chenye kemikali ya imidacloprid kama Twiga Prid, Mida 200SL, Hotspot ( sina hakika na spelling), nk
Nimetumia Mida 200SL na nimeona matokeo, na nilipanda juu mimi mwenyewe sikuweka mtu