Hivi oil sio hatari kupaka kwenye mbao ,incase kukitokea moto mbao hazitaungua kirahisi?Tumia oil chafu, hio ni nzuri sana kuliko hata zile mbao za dawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi oil sio hatari kupaka kwenye mbao ,incase kukitokea moto mbao hazitaungua kirahisi?Tumia oil chafu, hio ni nzuri sana kuliko hata zile mbao za dawa
Oil za injin za petroli ni tofauti na zile za duzelHivi kuna oil ya petrol[emoji848]
Duh!we ndo hujaelewa....inayozungumziwa hapo ni oil ile ya lubrication sio fuelDuh petrol ni hatari sana. Siku ukiwasha mshumaa au jiko la gesi ikakamata kwenye kenchi huna nyumba. Nani alikushauri kufanya hicho kitu? Risk sana aisee usilale kwenye hiyo nyumba kabla huja-neutralize hiyo kemikali hatari kuliko zote duniani
Hujamuelewa,inazungumzwa lubrication oil,sio fuelLabda wasiwasi wangu upo katika kudumu kwa 'petrol' katka mbao zako. Petrol inatabia ya 'kuvepa' haraka tofauti mafuta mengine kama oil chafu.
Kuzuia wadudu inaweza Ila haiwezi dumu, itaondoka mapema kwa njia ya gesi.
Oil chafu ni nzuri kwa sababu hudumu, hukaa muda mrefu. Petrol pengine ingefaa katika kulainishia oil chafu (Kama nzito Sana) na si kutumika peke ake
Hakuna oil nyeupe mkuu,oil ikiwa mpya inakua na rangi km mafuta ya kula tuJamani mnazidi kumchanganya muuliza swali, ni kwamba kuna oil kwa ajili ya engine za petrol na oil kwa ajili ya engine za dizeli. Sasa yeye katumia oil safi ambayo haijatumika ya petrol engine. Ndio inakuwa nyeupe haijachafuka ikitumika inakuwa nyeusi.
unapulizia kwa spray tankHiko kiwatilifu unapaka kwenye mbao au unapulizia?
Asante mkuu ntapulizia hii instead ya kupaka oilunapulizia kwa spray tank
Nafikiri oil chafu unaweza weka kwenye shimo la choo na kikasinyaa pia kwakua ule uchafu unaliwa na mafuta plus wale wadudu wanaootesha/sambaza uchafu wanakufa pia na choo kinakua kisafi nakupungua ujazo pia.unapulizia kwa spray tank
Na mi nnatamani kuifahamu asee 😆Hivi kuna oil ya petrol🤔
Oil ya Petrol ni kitu gani? Tuanzie hapo kwanza...Habari wana JF
Nimepaka oil ya petrol ambayo sio nyeusi sana kwenye kenchi zangu, ila nimekuwa na wasiwasi kama zitazilinda kenchi dhidi ya mchwa au inatakiwa oil yenye weusi mwingi kama ya diesel?
Naomba ushauri wako tafadhari.
Mmh jamaaNafikiri oil chafu unaweza weka kwenye shimo la choo na kikasinyaa pia kwakua ule uchafu unaliwa na mafuta plus wale wadudu wanaootesha/sambaza uchafu wanakufa pia na choo kinakua kisafi nakupungua ujazo pia.
Hasa kipindi hiki chamvua tafuta oil chafu weka ipe cku kadhaa utanipa majibu