Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mmh ni ngumu kiongozi kufungwa
Labda
Taarifa zinaonyesha kwamba huyu jamaa hatoki !Mmh ni ngumu kiongozi kufungwa
Labda
Huyu kijana kuna lundo la ushahidi usio na shaka juu yakeKatiba ya nchi hii viongozi kufungwa ni ngumu sana,labda atapewa fagio la kufanya usafi Mt Meru Hospital
Mramba yeye ilikuwaje ?Hiyo tunaita danganya toto!
Mmh ni ngumu kiongozi kufungwa
Labda
Kwa Makosa yake ya Kikatili Krav Maga ndiyo ningekuwa Rais nisingepoteza muda wangu Kuamuru ( kwa Kusaini haraka ) atangulizwe upesi Mavumbini Kinondoni ili Kufidia Machungu ya wale wote aliowaumiza.Kwa vile kuna ushahidi wa kutosha wa uhalifu uliofanywa na DC duni wa zamani wa Hai aliyefahamika kwa jina la Ole Sabaya akishirikiana na OCD wa eneo hilo , sasa ni dhahiri atafunguliwa mashitaka ya Kutumia madaraka yake vibaya kwa kushiriki kupora pesa za raia kwa vitisho na kwa kutumia silaha za umma .
Je atakamatwa lini ?
Kwa Makosa yake ya Kikatili Krav Maga ndiyo ningekuwa Rais nisingepoteza muda wangu Kuamuru ( kwa Kusaini haraka ) atangulizwe upesi Mavumbini Kinondoni ili Kufidia Machungu ya wale wote aliowaumiza.
Kuna kila daliliAsishtakiwe huyo mbwa, wamfilisi kila kitu alichokua nacho mpaka nguo za ndani. Abakie kuwa fukara wal masaakini, awe omba omba na aanze maisha from zero.
Ili wajue raia wa hali ya chini waliokua wana wadhulumu na kuwanyanyasa uchungu waliokua wakipata.
Kwa vile kuna ushahidi wa kutosha wa uhalifu uliofanywa na DC duni wa zamani wa Hai aliyefahamika kwa jina la Ole Sabaya akishirikiana na OCD wa eneo hilo , sasa ni dhahiri atafunguliwa mashitaka ya Kutumia madaraka yake vibaya kwa kushiriki kupora pesa za raia kwa vitisho na kwa kutumia silaha za umma .
Je atakamatwa lini ?
Tunakushukuru kwa kielelezo kisicho na shaka
Kwa vile kuna ushahidi wa kutosha wa uhalifu uliofanywa na DC duni wa zamani wa Hai aliyefahamika kwa jina la Ole Sabaya akishirikiana na OCD wa eneo hilo , sasa ni dhahiri atafunguliwa mashitaka ya Kutumia madaraka yake vibaya kwa kushiriki kupora pesa za raia kwa vitisho na kwa kutumia silaha za umma .
Je atakamatwa lini ?
Huyu jamaa nadhani Sabaya hatamsahau