Je, Ole Sabaya kushitakiwa?

Je, Ole Sabaya kushitakiwa?

Kwa vile kuna ushahidi wa kutosha wa uhalifu uliofanywa na DC duni wa zamani wa Hai aliyefahamika kwa jina la Ole Sabaya akishirikiana na OCD wa eneo hilo , sasa ni dhahiri atafunguliwa mashitaka ya Kutumia madaraka yake vibaya kwa kushiriki kupora pesa za raia kwa vitisho na kwa kutumia silaha za umma .

Je atakamatwa lini ?
Mkuu, tangu barua ya utenguzi itoke, Sabaya atakuwa chini ya takukuru na tiss
 
DPP ajaye akichukua file na kuelekea Mahakamani yeye na Majaji watakaosikiliza hii kesi watakuwa watu muhimu sana kwenye siasa na utawala bora kwenye hii nchi.

Wana nafasi ya kuwaambia viongozi hasa vijana hii nchi ina sheria si ya kucheza nayo na hakuna aliye juu ya sheria. Watajenga presedence yakueleweka na kusaidia sana hii nchi
 
Ni heshima na SoMo zuri akifikishwa mbele ya mkono wa Sheria.
 
DPP ajaye akichukua file na kuelekea Mahakamani yeye na Majaji watakaosikiliza hii kesi watakuwa watu muhimu sana kwenye siasa na utawala bora kwenye hii nchi.

Wana nafasi ya kuwaambia viongozi hasa vijana hii nchi ina sheria si ya kucheza nayo na hakuna aliye juu ya sheria. Watajenga presedence yakueleweka na kusaidia sana hii nchi
Presedence?
 
Kwa vile kuna ushahidi wa kutosha wa uhalifu uliofanywa na DC duni wa zamani wa Hai aliyefahamika kwa jina la Ole Sabaya akishirikiana na OCD wa eneo hilo , sasa ni dhahiri atafunguliwa mashitaka ya Kutumia madaraka yake vibaya kwa kushiriki kupora pesa za raia kwa vitisho na kwa kutumia silaha za umma .

Je atakamatwa lini ?
Hawezi kushitakiwa kwa video za kugushi , Ole sabaya aliyokuwa anayafanya yalikuwa na baraka za dikteta uchwara
 
Kwa vile kuna ushahidi wa kutosha wa uhalifu uliofanywa na DC duni wa zamani wa Hai aliyefahamika kwa jina la Ole Sabaya akishirikiana na OCD wa eneo hilo , sasa ni dhahiri atafunguliwa mashitaka ya Kutumia madaraka yake vibaya kwa kushiriki kupora pesa za raia kwa vitisho na kwa kutumia silaha za umma .

Je atakamatwa lini ?
IMG-20210514-WA0039.jpg
 
Kwa vile kuna ushahidi wa kutosha wa uhalifu uliofanywa na DC duni wa zamani wa Hai aliyefahamika kwa jina la Ole Sabaya akishirikiana na OCD wa eneo hilo , sasa ni dhahiri atafunguliwa mashitaka ya Kutumia madaraka yake vibaya kwa kushiriki kupora pesa za raia kwa vitisho na kwa kutumia silaha za umma .

Je atakamatwa lini ?
Tuorodheshee happy tuhuma hizo
 
Kwa vile kuna ushahidi wa kutosha wa uhalifu uliofanywa na DC duni wa zamani wa Hai aliyefahamika kwa jina la Ole Sabaya akishirikiana na OCD wa eneo hilo , sasa ni dhahiri atafunguliwa mashitaka ya Kutumia madaraka yake vibaya kwa kushiriki kupora pesa za raia kwa vitisho na kwa kutumia silaha za umma .

Je atakamatwa lini ?
Tunaona anatujazia servers zetu za JF toka atumbuliwe Jana Kila dakika 5 Uzi, Mara magufuli anatukanwa, Mara ooh legacy, hii ID yake ya @nigastratatract iwe banned inaleta uchochezi
 
Back
Top Bottom