Je Papa anakufuru?

Hapondi ukatoliki ila anaongea kweli ili wengi waitambue ? Lait wengi tungejua kweli hiii tungekuwa huru tena huru kweli kweli ila kwa kuwa wengi wamerogwa hata umueleze vipi atapinga bila kumkubali Yesu amfunulie hayo makando kando na uchafu itakuwa ngumu kujua kweli kuwa katoliki huwa wanaabudu pamoja na roho wachafu wakati wa litulujia na anayewaona ni padri tu wengine hamuwezi kuona ? Na kwa nini katika alyari kuna kaburi cjui la nini ? Ila linaitwa kaburi(tombe of...) ka.muulize padri wako je nini maaana ya Tombe (kaburi) ndio utaelewa
 
Hapondi ukatoliki ila anaongea kweli ili wengi waitambue ? Lait wengi tungejua kweli hiii tungekuwa huru tena huru kweli kweli ila kwa kuwa wengi wamerogwa hata umueleze vipi atapinga bila kumkubali Yesu amfunulie hayo makando kando na uchafu itakuwa ngumu kujua kweli kuwa katoliki huwa wanaabudu pamoja na roho wachafu wakati wa litulujia na anayewaona ni padri tu wengine hamuwezi kuona ? Na kwa nini katika alyari kuna kaburi cjui la nini ? Ila linaitwa kaburi(tombe of...) ka.muulize padri wako je nini maaana ya Tombe (kaburi) ndio utaelewa
 
Sio ngumu ila ni kweli tena kweli kabisa ?
 
Mkuu kwa huu uozo ulioibua huyu dogo hajaku_inbox vitisho kweli ?
Vitisho vya nini mkuu? Nitishwe na denti wa 23 years kweli? Posts zote hizi ni public domain atamtisha nani?

Dogo bado anahangaika na dunia huku akiamini kuwa kwa vile anasali Jumamosi na anashika sheria za Mafarisayo wa kale basi ndo atakwenda mbinguni na wengine wote wamepotea. Self-righteousness and spiritual exclusivity can be a hell of a drug. Wanafiki wa aina hii hata Yesu mwenyewe Alikuwa Anagombana nao sana mpaka akawafananisha na majeneza. Nje yanang'ara ajabu lakini ndani yamejaa uozo wa kila aina; na akawataka sana kuondoa kwanza vibanzi machoni mwao ili waweze kuona vizuri vibanzi katika macho ya wengine. Hali ni mbaya na bila neema ya Mungu ni kazi bure. Mungu na Atusaidie!
 
Pambanen na mada sio kufukua nyuz za mmu kule chai na kutoa stress
Haya ni mambo ya kiroho na ni unafiki kukaa umekazania makosa ya wengine kumbe hata unachopigania hukiishi. Ndiyo maana huwa nawadharau sana (na kuwaombea) wachungaji wanafiki wasiofuata yale wayahubiriyo. By the way hii ni ID nyingine ya huyo denti mleta mada?

Unalijua hili jukwaa la wakubwa analoliulizia? [emoji121][emoji121]. Tuacheni unafiki jamani na tukazanieni wokovu vinginevyo tutaangamia na madhehebu haya hayatatusaidia!
 
Huwa najiuliza sana kapata wapi mamlaka ya kusamehe dhambi?
 
Jesus can't save you life start when church end..
 
Haya mambo ndio tunayo ya yasemea kwenye uzi mwingine huko mamlaka ya yesu yamepolwa na maria na sasa yakafata mamlaka ya mungu nayo yamepolwa na papa .. Hivi Haya maandiko hawa wa Rc wanayatowa wapi siwanipe namm niyasome
 
WAACHIENI WATU NA IMANI ZAO. ..KUWA NA UPENDO KWA BINADAMU MWENZIO. ..MAANA BINADAMU NI UTUKUFU WA MUUMBAJI. ..MAGNIFICENT CREATURE. .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…