Vitisho vya nini mkuu? Nitishwe na denti wa 23 years kweli? Posts zote hizi ni public domain atamtisha nani?Mkuu kwa huu uozo ulioibua huyu dogo hajaku_inbox vitisho kweli ?
Haya ni mambo ya kiroho na ni unafiki kukaa umekazania makosa ya wengine kumbe hata unachopigania hukiishi. Ndiyo maana huwa nawadharau sana (na kuwaombea) wachungaji wanafiki wasiofuata yale wayahubiriyo. By the way hii ni ID nyingine ya huyo denti mleta mada?Pambanen na mada sio kufukua nyuz za mmu kule chai na kutoa stress
Kondoo wa bwana kang'aka[emoji23][emoji23]Wewe ni mpumbavu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] fanya kazi acha kueneza vitu usivyovijua mpuuzi wewe
Hivi ni lini utaleta Uzi wa kutufundisha Imani ya Kisabato?ORODHA YA UPAGANI WA ROMAN CATHOLIC ULIVYOINGIA
Sasa Mkuu unataka wahubiri nini pengine huko kwenye usabato hakuna cha maana cha kuhubiri?Kabisa yaan,,hasa wasabato mahubil yao ni Papa na Ukatoliki tuuu mxiiiiuuu
Ataponda yeye na wajukuu wa wajukuu zake lkn ukatoliki utaendelea kudunda tuHuyu mtoto ndani ya siku mbili kaanzisha topic zaidi ya sita kuponda ukatoliki.
Duh.....!we ni mkali.Quran ni kitabu cha shetan alichompa jamaa mmoja anaitwa muddy miaka ya 600s