wasumu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 2,271
- 2,065
Hapondi ukatoliki ila anaongea kweli ili wengi waitambue ? Lait wengi tungejua kweli hiii tungekuwa huru tena huru kweli kweli ila kwa kuwa wengi wamerogwa hata umueleze vipi atapinga bila kumkubali Yesu amfunulie hayo makando kando na uchafu itakuwa ngumu kujua kweli kuwa katoliki huwa wanaabudu pamoja na roho wachafu wakati wa litulujia na anayewaona ni padri tu wengine hamuwezi kuona ? Na kwa nini katika alyari kuna kaburi cjui la nini ? Ila linaitwa kaburi(tombe of...) ka.muulize padri wako je nini maaana ya Tombe (kaburi) ndio utaelewa