Na ukweli utabaki ivo ivo.hicho ndo kitabu sahihi kimegusa maisha yote.hapana shaka ndani yake.so vitabu vingne vinabafilishwa na mwanadamu unasema eti vinautukufu upi huo?Nijuavyo mm Quraan ni kitabu chenye muuongozo sahihi wa maisha ya mwanaadam.
Ndugu omba Yesu akufunulie tu nakuambia na naamini kwa dhati ni bora nife kuliko kuwadanganya ukatoliki ni zaidi muujuavyo ninyi ? Je mnajua kuwa kanisa linapojengwa hufukiwa mifupa ya binadamu chini ya kanisa je unajua ? Je unajua mapadri ni washirikina ?
Wewe uliyeandika hapa ni. Mpiga debe wa stendi,sidhani kama unasoma hata biblia,bishana kwa maandiko.Here we go again. Seventh Adventists (Wasabato) at work. Yaani bila Papa na ukatoliki hamna dini. Hata hiyo misingi ya dini yenu huwa mnaihubiri saa ngapi kama kazi yenu kuu ni kupambana na Papa na ukatoliki 24/7? Nyinyi mnaamini nini? Wokovu unapatikanaje? Kwa kusoma na kufuata mafundisho ya Bibi Ellen G. White? Kwa kutokula samaki wenye magamba, wanyama wasio na kwato zilizogawanyika na wale wasiocheua? Ni kwa kuabudu Jumamosi? Ni kwa kutokunywa chai, kahawa na soft drinks? Ni kwa kukurupuka na kuwa na kiherehere cha kuhusisha kila tukio na unabii wa vitabu vya Daniel na Ufunuo? Usabato ni nini? Mtu atakwenda mbinguni kwa sababu ni Msabato?
Inawezekana kweli Papa ni ajenti wa shetani lakini je, hili linawasaidiaje nyinyi kama Wasabato? Mbona mko so obsessed na Papa na Wakatoliki? Dini na madhehebu mengine yote yako sawa isipokuwa Wakatoliki? Au mna bifu la kihistoria na Papa na ukatoliki?
Samahani kwa maswali mengi na natumaini kwamba hutatoa povu na badala yake utajaribu kutuelimisha kuhusu kikundi hiki cha kifarisayo (washika sheria za Musa) kiitwacho Seventh Adventists. Ajabu ni kwamba kikundi hiki kina mauzauza mengi yasiyofungamana na mafundisho ya Biblia na badala ya kukazania kuondoa kwanza mabolti katika macho ya wafuasi wake kimekazania mabolti ya Wakatoliki.
Anyway, Happy New Year mkuu (kama mnaamini/mnasherehekea mwaka mpya)!
Nimemaliza kusoma Pambano Kuu sasa namalizia hii paper ya Kisayansi (caption below) halafu nihamie kwenye Dhiki Kuu.Wewe uliyeandika hapa ni. Mpiga debe wa stendi,sidhani kama unasoma hata biblia,bishana kwa maandiko.
Ukatoliki ni kweli utadumu hadi mwisho wa dunia (kiama), lakini itakufaa nini wewe ambaye nafsi yako itakuwa imepotezwa na mafundisho potofu ya ukatoliki? Yaani unaipigania dini kwa gharama ya nafsi yako, horrendous!Ataponda yeye na wajukuu wa wajukuu zake lkn ukatoliki utaendelea kudunda tu
Kama nimekulewa vizuri ni kwamba wewe una mama tu na hauna baba.Kukufuru ni kujiweka ktk nafasi ya Mungu ingawa wewe ni mwanadamu Yohana 10:33 Wayahudi wakamjibu, kwa ajiri ya kazi njema hatukupigi kwa mawe; bali kwa kukufuru, na kwa sababu wewe ulie mwanadamu wajifanya mwenyewe u Mungu. ---->hiyo ndo maana ya kukufuru. Kudai kuwa sawa na Mungu.
==>Isaya 14:13,14 Shetani alitamani kupaa juu kupita nyota za mbinguni ili afanane na Mungu, yaani akakae ktk nafasi ya Mungu.
==>Mwanzo Mwanzo 3:5 Shetani aliuingiza ulimwengu dhambini kwa kosa la kufuru yaani alimshawishi Eva akaidi agizo la Mungu amwahidi kuwa "atakuwa kama Mungu"-->hii ni kufuru!
WAKATOLIKI wana mwanadamu waliempa jina lenye wadhifa na wasifu wa Mungu peke yake, yaani " Baba Mtakatifu" Soma: Yohana 17:11Wala mimi simo tena ulimwenguni, lakini hawa wamo ulimwenguni, nami naja kwako. Baba Mtakatifu, kwa jina lako ulilonipa uwalinde hawa, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo.
Umeona hiyo aya inavobainisha kuwa "Baba Mtakatifu" ni jina la Mungu? Lakini Wakatoliki wana babao mtakatifu mwingine!!!!!? KUFURU!.
Mathayo 23:9 Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni. 10. Wala msiitwe viongozi; maana kiongozi wenu ni mmoja, naye ndiye Kristo.
Ndugu zangu aya hii ya 9, Mungu kakataa kuwa na ubia ktk jina lake la mamlaka linalobeba wadhifa wake. Kumwita mtu baba Mtakatifu na kiongozi mkuu wa dini ni KUFURU.
Mwenye masikio na asikie ambayo roho awaambia Wakatoliki. Mimi ni mjumbe tu kuwakumbusha yaliyokwisha bainishwa
Fact kabisa . binadamu ka Mimi anakuaje mtakatifu..afu watu utasikia una..kufuru kumsema papa vibaya wakat fact za biblia zinaonekana..afu huu ushabiki wa dini unatufanya tushindwe hata kufuata biblia inavosema..ni mawazo tu MUNGU anajua mwenyewe mana sisi binadam hatujakamilika kwa kila kituKukufuru ni kujiweka ktk nafasi ya Mungu ingawa wewe ni mwanadamu Yohana 10:33 Wayahudi wakamjibu, kwa ajiri ya kazi njema hatukupigi kwa mawe; bali kwa kukufuru, na kwa sababu wewe ulie mwanadamu wajifanya mwenyewe u Mungu. ---->hiyo ndo maana ya kukufuru. Kudai kuwa sawa na Mungu.
==>Isaya 14:13,14 Shetani alitamani kupaa juu kupita nyota za mbinguni ili afanane na Mungu, yaani akakae ktk nafasi ya Mungu.
==>Mwanzo Mwanzo 3:5 Shetani aliuingiza ulimwengu dhambini kwa kosa la kufuru yaani alimshawishi Eva akaidi agizo la Mungu amwahidi kuwa "atakuwa kama Mungu"-->hii ni kufuru!
WAKATOLIKI wana mwanadamu waliempa jina lenye wadhifa na wasifu wa Mungu peke yake, yaani " Baba Mtakatifu" Soma: Yohana 17:11Wala mimi simo tena ulimwenguni, lakini hawa wamo ulimwenguni, nami naja kwako. Baba Mtakatifu, kwa jina lako ulilonipa uwalinde hawa, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo.
Umeona hiyo aya inavobainisha kuwa "Baba Mtakatifu" ni jina la Mungu? Lakini Wakatoliki wana babao mtakatifu mwingine!!!!!? KUFURU!.
Mathayo 23:9 Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni. 10. Wala msiitwe viongozi; maana kiongozi wenu ni mmoja, naye ndiye Kristo.
Ndugu zangu aya hii ya 9, Mungu kakataa kuwa na ubia ktk jina lake la mamlaka linalobeba wadhifa wake. Kumwita mtu baba Mtakatifu na kiongozi mkuu wa dini ni KUFURU.
Mwenye masikio na asikie ambayo roho awaambia Wakatoliki. Mimi ni mjumbe tu kuwakumbusha yaliyokwisha bainishwa
Ukatoliki ni kweli utadumu hadi mwisho wa dunia (kiama), lakini itakufaa nini wewe ambaye nafsi yako itakuwa imepotezwa na mafundisho potofu ya ukatoliki? Yaani unaipigania dini kwa gharama ya nafsi yako, horrendous!
Mimi sio msabato, mimi NIMEOKOKA nampenda Yesu.
Kitu ambacho kinanisikitisha ni pale watu wanamtetea ibilisi pasi hata kujistukia. Wewe bila aibu unatetea ibada za sanamu zinazoendelea huko makanisani kila siku, unaungama mbele za mwanadamu mwenzio na kuamini anasamehe dhambi, mwanadamu mwenzio anatoa maagizo yaliyo kinyume cha Biblia wewe hata huoni -kisa mnamwita papa! Mnafundishana mafundisho ya kipagani kama vile kumwabudu bikira maria, mafudisho ya rozari (ambayo hayako katika Biblia) maswala ya toharani - ambayo ni upagani mtupu!! ... Bado mtu yumo tu. Duuuuuh, nachoka kabisa
Jay ZJesus can't save you life start when church end..
Usipaniki mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aya za mamaako.
Mkuu Blood of Jesus. Kulingana na Wasabato hata wewe huna unafuu na wewe na Wakatoliki wote ni majiganyanza. As long as unaabudu siku ya Jumapili - siku ya Kipagani ya kuabudu mungu jua wa Babylon, badala ya Jumamosi kama ilivyoagizwa katika amri ya nne basi hata wewe uko chini ya yule kahaba mkuu wa Ufunuo (Papa). In short, kulingana na Wasabato, mtu yeyote asiyesali Jumamosi anavunja amri ya Mungu na hatauona ufalme wa Mungu. Kwa hiyo ukisema kuwa eti umeokoka huku unasali siku ya Jumapili Wasabato hawatakuelewa!Mimi sio msabato, mimi NIMEOKOKA nampenda Yesu.
Kitu ambacho kinanisikitisha ni pale watu wanamtetea ibilisi pasi hata kujistukia. Wewe bila aibu unatetea ibada za sanamu zinazoendelea huko makanisani kila siku, unaungama mbele za mwanadamu mwenzio na kuamini anasamehe dhambi, mwanadamu mwenzio anatoa maagizo yaliyo kinyume cha Biblia wewe hata huoni -kisa mnamwita papa! Mnafundishana mafundisho ya kipagani kama vile kumwabudu bikira maria, mafudisho ya rozari (ambayo hayako katika Biblia) maswala ya toharani - ambayo ni upagani mtupu!! ... Bado mtu yumo tu. Duuuuuh, nachoka kabisa