Je Papa anakufuru?

Je Papa anakufuru?

Shetani ni mwenye laana na imeandikwa anae sulubiwa amelaaniwa. Ndio tunaloliona mashoga hawafungi ndoa na yule wenu alietundikwa hakuoa na baraka zake za ushoga tunaziona leo makanisa yanafungisha ndoa za mashoga. Wakatoliki wenyewe miaka nenda hawafungi ndoa wanachokifanya kinajulikana kashfa nyingi zimeibuka wanafirana na watawa wao. Na yule wenu alikua na vijana wake 12 wa kiume kazi ilikuwa ile ile kufirana tu. Kwa hiyo koma
Mchane maku huyo anafikiri yeye tu ndio anaweza kukashifu dini za wenzake tu kila mtu anajua kashfa
 
Mwacheni papa wetu. sie wahusika tunaelewa. Kila mtu aende zake kwenye dini/dhehebu linalomuhusu.
 
Fact kabisa . binadamu ka Mimi anakuaje mtakatifu..afu watu utasikia una..kufuru kumsema papa vibaya wakat fact za biblia zinaonekana..afu huu ushabiki wa dini unatufanya tushindwe hata kufuata biblia inavosema..ni mawazo tu MUNGU anajua mwenyewe mana sisi binadam hatujakamilika kwa kila kitu
Biblia inasema Mungu anavutiwa na watakatifu waliopo duniani.
 
Mbona povu jingi? Kwa taarifa yako kwa msabato hata wewe umepotea kwa kusali jumapili ambayo wanasema ndo mamlaka ya papa! Kwa hiyo unakunywa mvinyo wa ghadhabu ya Mungu. Kama hujui kinachoendelea kaa kimya. Unatuambia umeokoka ili tufanyeje? Mediocrity!
Acha upuuzi unatakiwa usali kila siku inamaana wewe unasali jmosi tu! Mungu yupo muda wowote
 
Kwa ushauri tumsikilize kwani hakuna aliye jua kila jambo sikuzote ukitaka kujua mada usianze kupaniki mtoa mada yupo sahihi ni jambo labusara akijibiwa hoja mm nimkatoliki ila mengi yanayosemwa ni ukweli ila kuenda kulizungumzia nikujitakia matatizo
ac8e3d2ffe62f39886649c5f6e5ac545.jpg
[/QUOTEh
Hama ukatoliki kaka kwa unachokisema we ni mbumbumbumbu!
 
Mkuu Blood of Jesus. Kulingana na Wasabato hata wewe huna unafuu na wewe na Wakatoliki wote ni majiganyanza. As long as unaabudu siku ya Jumapili - siku ya Kipagani ya kuabudu mungu jua wa Babylon, badala ya Jumamosi kama ilivyoagizwa katika amri ya nne basi hata wewe uko chini ya yule kahaba mkuu wa Ufunuo (Papa). In short, kulingana na Wasabato, mtu yeyote asiyesali Jumamosi anavunja amri ya Mungu na hatauona ufalme wa Mungu. Kwa hiyo ukisema kuwa eti umeokoka huku unasali siku ya Jumapili Wasabato hawatakuelewa!

Hawa ndo wale wanaodandia gari bila kujua welekeo. Nimemshangaa sana.
 
Cheo kipi? Cha baba wa kukuzaa ,Mungu mwenyewe alikitoa toka awali ila HOLLY FATHER NI CHAKE PEKEE lakini wakatoliki wamekipora

Baba wa milele, Mungu mwenye nguvu, mfalme wa amani. Hivyo vyaweza kuwa vyeo vya Mungu lakini si baba mtakatifu. Utakatifu ni refence ya ecclesia anayoiongoza wala si yeye kama yeye. Halafu acha kushusha hadhi ya Mungu wetu! Mungu aporwe cheo!!!!!! Hahahahahaaaa basi huyo si Mungu mwenye nguvu! Halafu nawashangaa wasabato na walokole mbona mko obsessed na papa kuliko hata wakatoliki wenyewe? Malumbano ya zama za giza za ulaya yameshaisha. Nyie tu ndo mnahangaika kuwa papa atalazimisha Sunday law! Mtasubiri mpaka mjinyee! Hicho kitu hakipo!
 
Baba wa milele, Mungu mwenye nguvu, mfalme wa amani. Hivyo vyaweza kuwa vyeo vya Mungu lakini si baba mtakatifu. Utakatifu ni refence ya ecclesia anayoiongoza wala si yeye kama yeye. Halafu acha kushusha hadhi ya Mungu wetu! Mungu aporwe cheo!!!!!! Hahahahahaaaa basi huyo si Mungu mwenye nguvu! Halafu nawashangaa wasabato na walokole mbona mko obsessed na papa kuliko hata wakatoliki wenyewe? Malumbano ya zama za giza za ulaya yameshaisha. Nyie tu ndo mnahangaika kuwa papa atalazimisha Sunday law! Mtasubiri mpaka mjinyee! Hicho kitu hakipo!
Acha kujitoa ufahamu YESU mwenyewe kasema BABA MTAKATIFU ni Mungu ,

Tena linaitwa HOLLY FATHER

utakatifu wa mwanadamu unaitwa SAINT

Hakuna mwanadamu aliyewahi kufikia cheo cha HOLLY FATHER

Huyo papa amepewa na nan huo u HOLLYFATHER?
 
"Kanisa Katoliki... lina hofu kuu ya kumwaga damu. Hata hivyo, linapokabiliwa na UZUSHI [HERESY]... LINALAZIMIKA KUTUMIA NGUVU, kutoa adhabu ya kupigwa viboko mwilini, na KUTESA. Linaunda mahakama kama ile ya Inkwizisheni (Inquisition). Linatumia SHERIA ZA SERIKALI kulisaidia... Lilifanya hivyo hasa katika karne ile ya 16 kuhusiana na WAPROTESTANTI... Katika nchi ya Ufaransa, chini ya [wafalme] Francis I na Henry II, katika
nchi ya Uingereza chini ya (Malkia) Mary Tudor, [Kanisa Katoliki] liliwatesa wazushi."

Maneno haya yamenukuliwa kutoka katika kitabu cha 'THE CATHOLIC CHURCH, THE RENAISSANCE AND PROTESTANTISM', uk.182-184.

753145b87419519eeece82340d6e16f4.jpg
 
Ona haya Mafundisho machache ya uongo yanaweza kuorodheshwa kama ifuatavyo: badala ya Neno la Mungu, imeweka MAPOKEO; badala ya Roho Mtakatifu, imemweka PAPA; badala ya toleo moja tu la Kristo, imeweka MISA [toleo la kila siku]; badala ya ubatizo, imewekaKUNYUNYIZA; badala ya Meza ya Bwana, imeweka MKATE UNAOBADILIKA KABISA NA KUWA MWILI NA DAMU HALISI YA YESU (Transubstantiation); badala ya Sheria ya milele ya
Mungu, imeweka SHERIA ILIYOFANYIWA MAREKEBISHO [Amri Kumi]; badala ya Zaka;
imeweka KODI [Ushuru] na INDULGENSIA [kuuza vyeti vya msamaha wa dhambi]; badala ya mauti, imeweka MAHALI PA KUTAKASIA DHAMBI au TOHARANI (Purgatory); badala ya Muhuri wa Mungu, imeweka ALAMA [CHAPA] YA MNYAMA.

ROMAN CATHOLIC INAPOTEZA WATU JAMANI

03a39156596b51df00ebd109923fcea4.jpg
 
Dai lile lile alilolisisitiza Shetani
katika nyika ile ya majaribu bado linasisitizwa naye [papa] kupitia katika Kanisa la
Roma, na idadi kubwa sana ya watu wako tayari kumsujudu yeye.


“Tunashikilia hapa duniani
mahali paMungu Mwenyezi."
Papa Leo wa 13,

Katika Barua yake ya Utume,
Juni 20, 1894.

f2cad3af3c0169fe8bc19c8e516a3960.jpg
 
Dai lile lile alilolisisitiza Shetani
katika nyika ile ya majaribu bado linasisitizwa naye [papa] kupitia katika Kanisa laRoma, na idadi kubwa sana ya watu wako tayari kumsujudu yeye.

“Tunashikilia hapa duniani
mahali paMungu Mwenyezi."
Papa Leo wa 13,
Katika Barua yake ya Utume,
Juni 20, 1894.

edba091940f44c931f271e1321db4f62.jpg
 
Here we go again. Seventh Adventists (Wasabato) at work. Yaani bila Papa na ukatoliki hamna dini. Hata hiyo misingi ya dini yenu huwa mnaihubiri saa ngapi kama kazi yenu kuu ni kupambana na Papa na ukatoliki 24/7? Nyinyi mnaamini nini? Wokovu unapatikanaje? Kwa kusoma na kufuata mafundisho ya Bibi Ellen G. White? Kwa kutokula samaki wenye magamba, wanyama wasio na kwato zilizogawanyika na wale wasiocheua? Ni kwa kuabudu Jumamosi? Ni kwa kutokunywa chai, kahawa na soft drinks? Ni kwa kukurupuka na kuwa na kiherehere cha kuhusisha kila tukio na unabii wa vitabu vya Daniel na Ufunuo? Usabato ni nini? Mtu atakwenda mbinguni kwa sababu ni Msabato?

Inawezekana kweli Papa ni ajenti wa shetani lakini je, hili linawasaidiaje nyinyi kama Wasabato? Mbona mko so obsessed na Papa na Wakatoliki? Dini na madhehebu mengine yote yako sawa isipokuwa Wakatoliki? Au mna bifu la kihistoria na Papa na ukatoliki?

Samahani kwa maswali mengi na natumaini kwamba hutatoa povu na badala yake utajaribu kutuelimisha kuhusu kikundi hiki cha kifarisayo (washika sheria za Musa) kiitwacho Seventh Adventists. Ajabu ni kwamba kikundi hiki kina mauzauza mengi yasiyofungamana na mafundisho ya Biblia na badala ya kukazania kuondoa kwanza mabolti katika macho ya wafuasi wake kimekazania mabolti ya Wakatoliki.

Anyway, Happy New Year mkuu (kama mnaamini/mnasherehekea mwaka mpya)!
Mkuu kuna kitu haukijui ama hauajakitafakari,
Ipo hivi,vita ya shetani na MUNGU haikuishia mbinguni tu imekuja mpaka duniani,
Wasabato wa zama za Yesu walimtukana Yesu na kumuita ana pepo belizeburi na wakamuua,
Wasabato wa kizazi hili wanaendeleza kazi ya baba zao kwa kumtukana Papa na ukatoliki
 
Baba wa milele, Mungu mwenye nguvu, mfalme wa amani. Hivyo vyaweza kuwa vyeo vya Mungu lakini si baba mtakatifu. Utakatifu ni refence ya ecclesia anayoiongoza wala si yeye kama yeye. Halafu acha kushusha hadhi ya Mungu wetu! Mungu aporwe cheo!!!!!! Hahahahahaaaa basi huyo si Mungu mwenye nguvu! Halafu nawashangaa wasabato na walokole mbona mko obsessed na papa kuliko hata wakatoliki wenyewe? Malumbano ya zama za giza za ulaya yameshaisha. Nyie tu ndo mnahangaika kuwa papa atalazimisha Sunday law! Mtasubiri mpaka mjinyee! Hicho kitu hakipo!
Biblia pia inakataza tusimuite MTU baba ila aliye juu tu,lkn hata mdau aloleta Uzi huo anamuita Baba mzazi wake wa kiume na km yy mwanaume ipo siku ataitwa baba swali ni je atakuwa kampora jina Mungu wetu,
Jamaa anaakili finyu sana
 
Ona haya Mafundisho machache ya uongo yanaweza kuorodheshwa kama ifuatavyo: badala ya Neno la Mungu, imeweka MAPOKEO; badala ya Roho Mtakatifu, imemweka PAPA; badala ya toleo moja tu la Kristo, imeweka MISA [toleo la kila siku]; badala ya ubatizo, imewekaKUNYUNYIZA; badala ya Meza ya Bwana, imeweka MKATE UNAOBADILIKA KABISA NA KUWA MWILI NA DAMU HALISI YA YESU (Transubstantiation); badala ya Sheria ya milele ya
Mungu, imeweka SHERIA ILIYOFANYIWA MAREKEBISHO [Amri Kumi]; badala ya Zaka;
imeweka KODI [Ushuru] na INDULGENSIA [kuuza vyeti vya msamaha wa dhambi]; badala ya mauti, imeweka MAHALI PA KUTAKASIA DHAMBI au TOHARANI (Purgatory); badala ya Muhuri wa Mungu, imeweka ALAMA [CHAPA] YA MNYAMA.

ROMAN CATHOLIC INAPOTEZA WATU JAMANI

03a39156596b51df00ebd109923fcea4.jpg
Mkuu baada ya chuki na uzushi wako Vp umepata tiketi ya peponi baada ya kuzusha haya?
 
Back
Top Bottom