Je Papa anakufuru?

Kazi njema kama ipi?
 
Quran ni kitabu cha shetan alichompa jamaa mmoja anaitwa muddy miaka ya 600s
Unanufaika nini ukitukana Quraan? kila sura katika Quran lazma kabla ya kuisoma unaanza kwa kusema. AUDHUBILAAH MINA SHEITAAIN RAJIIM

MAANA yake najikinga na shetani ama kumlaani shetani.

Swali langu je kitabu cha shetani kitaanza kwa kumlaani shetani?

Pili naomba ushahidi kwamba ni kitabu cha shetani?

Tatizo kubwa ulilonalo ni chuki kubwa katiko moyo wako. na chuki ni katika mambo ya kishetani. Sasa ndugu moe naona wewe ndio unaongozwa na shetani.
 
Kuna watu wana roho mbaya..........by Mkude Simba.....
 
Kama sijakosea umesema wasabato wana mauzauza mengi yanayopingana na biblia.sasa nataka uorodheshe matatu tu yanayopingana na biblia then weka matatu ya kikatoliki yanayoendana na biblia ikiwemo siku yenu ya kuabudu,au hta ukiacha la siku ya kuabudu maana litakutoa jasho.
 
Mauzauza kweli ni mengi mkuu. Ngoja nikutajie machache.

(1) m2mixh

(2) m2mish

(4) mtumish

(5) mtumishi...[emoji23][emoji23][emoji23]

Bila shaka wewe ni denti. Mtu mzima hawezi kutumia huu uandishi wa ki-facebook...

Anyway, binafsi sina ugomvi na dhehebu lolote ila huwa sipendi hii tabia ya kujivika utakatifu wa bandia na kuanza kushambulia madhehebu mengine. Tukumbuke tu kuwa dhehebu lako halitakuokoa....Wasabato:

(1) Historia yenu imejaa mauzauza na hii tabia ya kutabiri tabiri kurudi kwa Yesu na mambo mengine haijakoma. Soma historia ya kanisa lako utaelewa nasema nini. Sensationalism! Kila kitu ni life shattering event. Upepo ukivuma ooooh tayari unabii wa vitabu vya Ufunuo na Daniel umetimia. Papa akivaa kofia mpya oooh tayari kahaba wa Ufunuo anajiandaa kuinyakua dunia. Gosh!!!

(2) Pick and choose kutoka sheria za Musa. Kwa nini sheria za nyama tu na vyakula? Kama kweli mmeamua si mshike sheria zote za Mafarisayo? (Inasemekana zipo zaidi ya 10,000 !!!). Sheria hizi za kale zina nafasi gani katika wokovu? Kuna mtu atakosa kwenda mbinguni kisa alikula samaki asiye na magamba au mnyama asiye na kwato au asiyecheua? Na kwa nini mnadhani kwa kushika sheria hizi basi nyie ni watakatifu kuliko wengine?

(3) Ellen G White. Kweli ni nabii? Kwa nini maandishi yake na miongozo yake na hasa tafsiri zake za Biblia zina uzito mkubwa kanisani? Huyu mama ni controversial na kuna watu wengi (wakiwemo psychiatrists) wanaodhani kuwa alikuwa mgonjwa wa akili aliyekuwa akipata hallucinations kali. Alipata ajali ya kuanguka alipokuwa na miaka 13 na kupata permanent brain damage! Kuweni macho isije ikawa mnafuata maandiko ya "kichaa"!

Angalizo: Sifa mojawapo kuu ya cults ni hii: Mbali na Biblia kunakuwa na nyongeza ya mafundisho ya "nabii" anayekubaliwa na kanisa. Mara nyingi maandiko ya "nabii" huyu ama hufafanua Biblia zaidi (mf. Ellen G. White wa Wasabato), huongezea vitabu vingine mbali na Biblia (mf. Joseph Smith wa Mormonism aliyekuja na Kitabu cha Mormon ambacho kinatambuliwa na wafuasi wake kuwa ndiyo maandiko matakatifu zaidi kuwahi kufunuliwa kwa binadamu). Cults zingine (mf. Jehova's Witness) hutumia Biblia ambazo zimechakachuliwa na waumini wake huwa hawaruhusiwi kusoma matoleo mengine ya Biblia.

(4) Eti Yesu aliingia Patakatifu pa Patakatifu kuanzia mwaka 1884 ili kuanza kutuombea rasmi. Mlijuaje? Huyo mwanzilishi wenu Miller alifika huko mbinguni na kumuona Yesu Akihama huo mwaka 1884? Na kama Yesu bado Anaendelea kutupigania huko mbinguni ina maana damu yake pale Msalabani haikutosha? Ina maana Alikuwa muongo Alipolia kuwa "IMEKWISHA" pale msalabani?

(5) Investigative Judgement iliyoanza mwaka 1884 ni nini? Ina misingi gani katika Biblia?

Wataalamu wa Cults wanawatambua Seventh day Adventists kama aina mojawapo ya cults za Kikristo japo siku zinavyozidi kwenda cult hii inazidi kubadilika badilika na kufuata misingi ya Biblia. Kwa hili kidogo inajipambanua na kuwaacha wenzake Mormons, Jehova's Witness na wengineo.

Kuhusu Wakatoliki nadhani mambo yao ni self explanatory na hayahitaji kutetewa. Watakuja wajitetee wenyewe.

==> Tupiganie wokovu wetu mmoja mmoja na kujibidisha sana kuwa karibu na Mungu wetu huku tukitambua kuwa tunaokolewa na neema Yake na si kwa matendo yetu pekee. Kufumba macho na kudhani kuwa mbingu tutaiona kwa kuwa tu wafuasi wa dhehebu hili au lile pekee ni kujidanganya. Mungu Akusaidie uuone ukweli huu!
 
Babako unamwitaje, acha umbumbu ndio maana mlienda airport kusafiri kutumia biblia.
 
Ujinga wako unaedit picha.
 
Msabato hana hoja yoyote ya kibiblia juu ya papa zaidi ya kukalili maandiko tu kijimstari kimoja anaandika uzi.
Kwa kifupi papa ni wakili wa Mungu kwa niaba ya Mt Petro mtume wa Yesu. Mathayo 16:18.
Wewe ndiye petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu ambalo hata milango ya kuzimu haitalishinda.
Kuhusu Papa kuitwa baba. Imeandikwa Mungu anapendezwa na watakatifu waliopo duniani.

Vizuri muwe na hoja zisizojibika kwa biblia maana Neno la Mungu usipolielewa utalipotosha naye anasema ole wake atakayebadilisha chochote. Mbingu na vyote vitapita ila haitaondoka hata yodi moja ya neno la Mungu sasa jiulize nani mpotoshaji Mkatoriki mwenye biblia yenye vitabu zaidi ya sabini? Au anayevipunguza mpaka vimefika sitini na kitu.
 
Povuuuuuuuu

Ukweli unabaki uislamu ni zao la katoliki

Hauon hata sanamu jiwe jeusi mnaliabudu, wenzenu wana rozali ninyi mna tasbihi hirizi
sisi tuna tasbihi nyinyi je au ndo mnaazimisha ya sodoma na gomora hahaha,nasubir ndoa yako mkuu ya kuolewa na dume jenzako
 
Duh...yaani huyu mshika Sabato, Siku ya Saba, Jumamosi.
Mtumishi mtakatifu sana wa Kanisa Takatifu, SDA ndio anaandika mambo kama hayo tena...!
Huyu anayetuonesha kila siku maboriti ya Wakatoriki na Papa...!
Huyu Askofu mtiifu wa Nabii Elleni G. White...!
Hakika nimestajabu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…