Je, PC yangu itafaa kwajili ya FIFA 2021?

Je, PC yangu itafaa kwajili ya FIFA 2021?

Refresh rate ni 30 mpaka 60 kwa hizi laptop zetu za kawaida, zaidi ya hapo hakuna advantage yoyote utakayopata kutokana na display.

sawa mkuu nkmekuelewa niki set low resolotion 600*800 ndo inacheza vizuri baada ya muda kidogo nadhani ii patch niliodownload inachangia, itakuw ainataka pc yenye uwezo mkubwa zaidi ya yangu
 
sawa mkuu nkmekuelewa niki set low resolotion 600*800 ndo inacheza vizuri baada ya muda kidogo nadhani ii patch niliodownload inachangia, itakuw ainataka pc yenye uwezo mkubwa zaidi ya yangu
Kingne fit girl kwenye GTA hana patch me nilidownload na INA run vzr tyu na PC yangu hata graphic card haina Pentium g3250 4then ram gb8 HDD GB 500 tu

Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
 
Kingne fit girl kwenye GTA hana patch me nilidownload na INA run vzr tyu na PC yangu hata graphic card haina Pentium g3250 4then ram gb8 HDD GB 500 tu

Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app

ume set vp kaka na yako ni version ipi nipe link labda nilio download mm ni vesion ya mbele inayotaka pc yenye uwezo mkubwa nitumie link ni icheki kaka, na serting zako kwanzia resolution fresh rate na vinginevo niweze pata soln maan nimeshusha resolution imekuwa kama gta vice city aina ata utamu
 
ume set vp kaka na yako ni version ipi nipe link labda nilio download mm ni vesion ya mbele inayotaka pc yenye uwezo mkubwa nitumie link ni icheki kaka, na serting zako kwanzia resolution fresh rate na vinginevo niweze pata soln maan nimeshusha resolution imekuwa kama gta vice city aina ata utamu
Setting upande wangu nimeweka normal tu zote direct x 10.1 ndio natumia

Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
 
Refresh rate ni 30 mpaka 60 kwa hizi laptop zetu za kawaida, zaidi ya hapo hakuna advantage yoyote utakayopata kutokana na display.
Nje kidogo ya mada sijui mkuu, hii laptop hp i3 6006u 2.0ghz ram4 hdd320gb intel hd graphics 520

Ninaweza kuweka nvidia graphic card ?? Kama inawezekana naipata wapi?? Bei zake zikoje..

Je vipi kwa hapo ilipo naweza cheza gem katika ubora kweli ??
 
Nje kidogo ya mada sijui mkuu, hii laptop hp i3 6006u 2.0ghz ram4 hdd320gb intel hd graphics 520

Ninaweza kuweka nvidia graphic card ?? Kama inawezekana naipata wapi?? Bei zake zikoje..

Je vipi kwa hapo ilipo naweza cheza gem katika ubora kweli ??
Huwezi kuweka Nvidia, ila hapo ilipo unaweza cheza games nyingi tu kwa low graphics.
 
Cpu wise ina meet requirements ila kwenye GPU haimeet requirements,

Sema kwa uzoefu wangu si tatizo utacheza fifa 21 ila kwa quality ndogo, itabidi upunguze graphics quality.
baadhi ya event za online pia inaweza ikasumbua ila kwa offline games kama career na volta atachea bila ya shida
 
Back
Top Bottom