Je, pendekezo la kushushwa mshahara kwa waliotenguliwa nafasi litawahusu pia waliotenguliwa huko nyuma?

Je, pendekezo la kushushwa mshahara kwa waliotenguliwa nafasi litawahusu pia waliotenguliwa huko nyuma?

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Wakati waziri wa fedha anawasilisha bajeti ya serikali kwa mwaka 2022/2023 alipendekeza kama njia ya kubana matumizi kuwa mtu akitenguliwa kwenye nafasi ya uteuzi na akarudia nafasi yake ya awali, basi na mshahara utenguliwe ili apate unaolingana na nafasi aliyokuwa nayo kabla ya uteuzi. Kwa mfano mwalimu wa sekondari aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa halmashauri fulani, basi akitenguliwa kwenye ukurugenzi {bila kufukuzwa kazi) arudie mshahara wake wa ualimu.

Sasa swali langu ni kuwa je hii itawahusu pia ambao kwa sasa walishatengfuliwa na bado wanalipwa mishahara ya nafasi ambayo kwa sasa hawaitumikii, au hili pendekezo likipitishwa na bunge litawahusu tu wale watakaotenguliwa kuanzia 01/07/2023 na wale wa awali waendelee kufaidi mishahara ambayo kwa sasa hawaifanyii kazi?

Nimeuliza hivyo kwa sababu:
1. Kama hili pendekezo haliwahusu waliotenguliwa kabla ambao kusema kweli ni wengi mno, basi hili pendekezo halitaweza kuleta unafuu wa bajeti kwa sababu kasi ya kutengua kwa sasa ni ndogo sana ukilinganisha na huko nyuma.
2. Kama hili pendekezo linawahusu pia waliotenguliwa huko nyuma, kwanza ni kweli litaleta unafuu wa bajeti, lakini pia litafanya atakayetenguliwa sasa aridhike na asione ameonewa kupunguziwa mshahara. Maana wengine wako ofisi moja aliyetenguliwa mwanzo na atakayetenguliwa sasa.
 
Hili pendekezo lisije kuwa limefanywaq kwa kuwalenga watu fulani!!
 
Utenguaji upungue, maana mara nyingi tija hakuna katika tengua tengua zaidi ya kukomoana!
 
Kwa kuwa bajeti mpya ya serikali itaanza kutumika Julai 01 2022, ni dhahiri kuwa pendekezo la mtumishi kutenguliwa kurejea mshahara wake wa awali litahusu wote watakaotenguliwa kuanzia Julai 01,2022.
 
Kwa kuwa bajeti mpya ya serikali itaanza kutumika Julai 01 2022, ni dhahiri kuwa pendekezo la mtumishi kutenguliwa kurejea mshahara wake wa awali litahusu wote watakaotenguliwa kuanzia Julai 01,2022.
Kama hivyo ndivyo, hili pendekezo halitasaidia kubana matumizi. Maana huwezi kupunguza matumizi kwa kutegemea kutengua teuzi. Kila mtu anajua wakati wa serikali ya awamu ya tano watu wengi sana walitenguliwa na mzigo upo hapo! Kama mzigo huo hautuliwi, ni kuwaonea hao watakaotenguliwa baadaye ambao kwanza ni wachache sana (kwa kuzingatia namna mama anavyofanya kazi), hivyo kufanya pendekezo lisiwe na nafuu yoyote katika kubana matumizi.
 
hili pendekezo ni la hovyo, la roho mbaya... tuanze na viongozi wakuu... wakistaaf maposho mishahara na mapensheni yapigwe panga kama wengine...

mwendazake alitishia kuto lipa baadhi ya wastaaf walio amia upinzani kupingana nae... baadae wakarejea kundini... kuna umuhimu muda ukiisha basi na mapochopocho yaishe...

mambo ya familia nzima na yenyewe kuingia ktk payroll sio sawa, na wenyewe waitumikie nchi na walipwe kulingana na ngazi husika na sifa zilizopo...
 
Kama hivyo ndivyo, hili pendekezo halitasaidia kubana matumizi. Maana huwezi kupunguza matumizi kwa kutegemea kutengua teuzi. Kila mtu anajua wakati wa serikali ya awamu ya tano watu wengi sana walitenguliwa na mzigo upo hapo! Kama mzigo huo hautuliwi, ni kuwaonea hao watakaotenguliwa baadaye ambao kwanza ni wachache sana (kwa kuzingatia namna mama anavyofanya kazi), hivyo kufanya pendekezo lisiwe na nafuu yoyote katika kubana matumizi.
Waingereza wanasema, " Penny Clever, Pound Stupid!
 
Kwa hiyo mtu kama ametenguliwa ukatibu mkuu wa wizara akiwa na miaka 40 aendelee kulipwa mshahara wa ukatibu mkuu kwa miaka mingine 20 hadi atakapostaafu??
hili pendekezo ni la hovyo, la roho mbaya... tuanze na viongozi wakuu... wakistaaf maposho mishahara na mapensheni yapigwe panga kama wengine...

mwendazake alitishia kuto lipa baadhi ya wastaaf walio amia upinzani kupingana nae... baadae wakarejea kundini... kuna umuhimu muda ukiisha basi na mapochopocho yaishe...

mambo ya familia nzima na yenyewe kuingia ktk payroll sio sawa, na wenyewe waitumikie nchi na walipwe kulingana na ngazi husika na sifa zilizopo...
 
Nadhani sheria hiyo inaanza 01/07/2022! Haitawahusu wale wa kabla ya tarehe hiyo.
 
Wakati waziri wa fedha anawasilisha bajeti ya serikali kwa mwaka 2022/2023 alipendekeza kama njia ya kubana matumizi kuwa mtu akitenguliwa kwenye nafasi ya uteuzi na akarudia nafasi yake ya awali, basi na mshahara utenguliwe ili apate unaolingana na nafasi aliyokuwa nayo kabla ya uteuzi. Kwa mfano mwalimu wa sekondari aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa halmashauri fulani, basi akitenguliwa kwenye ukurugenzi {bila kufukuzwa kazi) arudie mshahara wake wa ualimu.

Sasa swali langu ni kuwa je hii itawahusu pia ambao kwa sasa walishatengfuliwa na bado wanalipwa mishahara ya nafasi ambayo kwa sasa hawaitumikii, au hili pendekezo likipitishwa na bunge litawahusu tu wale watakaotenguliwa kuanzia 01/07/2023 na wale wa awali waendelee kufaidi mishahara ambayo kwa sasa hawaifanyii kazi?

Nimeuliza hivyo kwa sababu:
1. Kama hili pendekezo haliwahusu waliotenguliwa kabla ambao kusema kweli ni wengi mno, basi hili pendekezo halitaweza kuleta unafuu wa bajeti kwa sababu kasi ya kutengua kwa sasa ni ndogo sana ukilinganisha na huko nyuma.
2. Kama hili pendekezo linawahusu pia waliotenguliwa huko nyuma, kwanza ni kweli litaleta unafuu wa bajeti, lakini pia litafanya atakayetenguliwa sasa aridhike na asione ameonewa kupunguziwa mshahara. Maana wengine wako ofisi moja aliyetenguliwa mwanzo na atakayetenguliwa sasa.

Mama kashtuka kipindi cha Magu hawa watu waliitafuna sana serikali kwa sababu ya kupeana ulaji bila kuangalia vigezo. Unakuta unalipa wakurugenzi wawili sehemu moja. Ni vizuri waweze kuangali namna ya uteuZi kwa kuwahamisha au kusubiri watu wamalize utumishi wao au wateuliwe ambao wamestaafu akiachishwa hakuna mzigo wa kumhudumia akachukue pension yake asepe. Lakini sio kumtengua mtu wakati bado yuko utumishi wa uma.
 
Wakati waziri wa fedha anawasilisha bajeti ya serikali kwa mwaka 2022/2023 alipendekeza kama njia ya kubana matumizi kuwa mtu akitenguliwa kwenye nafasi ya uteuzi na akarudia nafasi yake ya awali, basi na mshahara utenguliwe ili apate unaolingana na nafasi aliyokuwa nayo kabla ya uteuzi. Kwa mfano mwalimu wa sekondari aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa halmashauri fulani, basi akitenguliwa kwenye ukurugenzi {bila kufukuzwa kazi) arudie mshahara wake wa ualimu.

Sasa swali langu ni kuwa je hii itawahusu pia ambao kwa sasa walishatengfuliwa na bado wanalipwa mishahara ya nafasi ambayo kwa sasa hawaitumikii, au hili pendekezo likipitishwa na bunge litawahusu tu wale watakaotenguliwa kuanzia 01/07/2023 na wale wa awali waendelee kufaidi mishahara ambayo kwa sasa hawaifanyii kazi?

Nimeuliza hivyo kwa sababu:
1. Kama hili pendekezo haliwahusu waliotenguliwa kabla ambao kusema kweli ni wengi mno, basi hili pendekezo halitaweza kuleta unafuu wa bajeti kwa sababu kasi ya kutengua kwa sasa ni ndogo sana ukilinganisha na huko nyuma.
2. Kama hili pendekezo linawahusu pia waliotenguliwa huko nyuma, kwanza ni kweli litaleta unafuu wa bajeti, lakini pia litafanya atakayetenguliwa sasa aridhike na asione ameonewa kupunguziwa mshahara. Maana wengine wako ofisi moja aliyetenguliwa mwanzo na atakayetenguliwa sasa.
Hapo itakuwa poa kama machawa wote walio kula zauso na Kwa huruma wakapatiwa namna ya kuendelea kutafuta riski zao naowaingie kikaangoni,kama bado waliokuwa na marupurupu ya awali🏃🏃
 
Wakati waziri wa fedha anawasilisha bajeti ya serikali kwa mwaka 2022/2023 alipendekeza kama njia ya kubana matumizi kuwa mtu akitenguliwa kwenye nafasi ya uteuzi na akarudia nafasi yake ya awali, basi na mshahara utenguliwe ili apate unaolingana na nafasi aliyokuwa nayo kabla ya uteuzi. Kwa mfano mwalimu wa sekondari aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa halmashauri fulani, basi akitenguliwa kwenye ukurugenzi {bila kufukuzwa kazi) arudie mshahara wake wa ualimu.

Sasa swali langu ni kuwa je hii itawahusu pia ambao kwa sasa walishatengfuliwa na bado wanalipwa mishahara ya nafasi ambayo kwa sasa hawaitumikii, au hili pendekezo likipitishwa na bunge litawahusu tu wale watakaotenguliwa kuanzia 01/07/2023 na wale wa awali waendelee kufaidi mishahara ambayo kwa sasa hawaifanyii kazi?

Nimeuliza hivyo kwa sababu:
1. Kama hili pendekezo haliwahusu waliotenguliwa kabla ambao kusema kweli ni wengi mno, basi hili pendekezo halitaweza kuleta unafuu wa bajeti kwa sababu kasi ya kutengua kwa sasa ni ndogo sana ukilinganisha na huko nyuma.
2. Kama hili pendekezo linawahusu pia waliotenguliwa huko nyuma, kwanza ni kweli litaleta unafuu wa bajeti, lakini pia litafanya atakayetenguliwa sasa aridhike na asione ameonewa kupunguziwa mshahara. Maana wengine wako ofisi moja aliyetenguliwa mwanzo na atakayetenguliwa sasa.
Mlengwa ni Katibu Kiongozi aliyetumikia kwa siku kadhaa
 
Kwa uelewa wangu sheria hairudi nyuma inakwenda mbele.

After all siamini kama waliotenguliwa ndiyo wanasababisha matumizi makubwa. Maana wanapokea mshahara tu na siyo matupurupu wala magari.

Suluhu ni kuteua watu wenye uwezo wa kumudu majukumu ili kupunguza utenguzi
 
Wakati waziri wa fedha anawasilisha bajeti ya serikali kwa mwaka 2022/2023 alipendekeza kama njia ya kubana matumizi kuwa mtu akitenguliwa kwenye nafasi ya uteuzi na akarudia nafasi yake ya awali, basi na mshahara utenguliwe ili apate unaolingana na nafasi aliyokuwa nayo kabla ya uteuzi. Kwa mfano mwalimu wa sekondari aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa halmashauri fulani, basi akitenguliwa kwenye ukurugenzi {bila kufukuzwa kazi) arudie mshahara wake wa ualimu.

Sasa swali langu ni kuwa je hii itawahusu pia ambao kwa sasa walishatengfuliwa na bado wanalipwa mishahara ya nafasi ambayo kwa sasa hawaitumikii, au hili pendekezo likipitishwa na bunge litawahusu tu wale watakaotenguliwa kuanzia 01/07/2023 na wale wa awali waendelee kufaidi mishahara ambayo kwa sasa hawaifanyii kazi?

Nimeuliza hivyo kwa sababu:
1. Kama hili pendekezo haliwahusu waliotenguliwa kabla ambao kusema kweli ni wengi mno, basi hili pendekezo halitaweza kuleta unafuu wa bajeti kwa sababu kasi ya kutengua kwa sasa ni ndogo sana ukilinganisha na huko nyuma.
2. Kama hili pendekezo linawahusu pia waliotenguliwa huko nyuma, kwanza ni kweli litaleta unafuu wa bajeti, lakini pia litafanya atakayetenguliwa sasa aridhike na asione ameonewa kupunguziwa mshahara. Maana wengine wako ofisi moja aliyetenguliwa mwanzo na atakayetenguliwa sasa.
Halitawahusu wale wa nyuma kabla ya sheria kupitishwa
 
Kwa uelewa wangu sheria hairudi nyuma inakwenda mbele.

After all siamini kama waliotenguliwa ndiyo wanasababisha matumizi makubwa. Maana wanapokea mshahara tu na siyo matupurupu wala magari.

Suluhu ni kuteua watu wenye uwezo wa kumudu majukumu ili kupunguza utenguzi
Suluhu ni watu wafanye interview kwenye hizi nafasi
 
Back
Top Bottom