RUKUKU BOY
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 1,516
- 1,775
Ana kadi 2 za njano, kama sikoseiKwann Sammata ayupo?
Samatta ana umuhimu ila asipokuwepo umuhimu wake haupo.
Unavuta bange ya wapi mkuu
Haaaa umetishaSamatta ana umuhimu ila asipokuwepo umuhimu wake haupo.
Kivipibaaaaaasi tena
Duu sijakuelewa mkuuMechi kama hizi lazima mumtengeneze hero. Mtu kama Chilunda anapewa jukumu la kuibeba taifa, ndio ni team work lakini mtu mmoja anabebeshwa jukumu la mauaji kwa kila gharama. Hata akiwa uwanjani anajua jukumu lake na nchi yote ipo mgongoni kwake. Acheze kama vile ndio mechi yake ya mwisho! Hata asipofunga yeye lakini pressure yake itasaidia mengi.
Ila Samata ni hatari huwezi mlinganisha na kina Chilunda au BokoSasa ni kipindi ambacho wachezaji wa star wanatakiwa kuonesha kwamba kumbe bila hata samata wanaweza cheza mpira na kupata matokeo safi.Wakishindwa fanya hivyo nikuvunja team yote na kuanza ,hakuna maana ya kutegemea mchezaji mmoja tu
Anachezaga namba ngapi uyo dogoMm uwa nashindwa kuelewa unaita mchezaji mzuri tena bwana mdogo kabisa kama chiluda afu unaishia kumpiga benchi kweli? hiv kocha anashindwa kumpa ata dakika thelathini tu? nasubili kesho hasimpange aone.