RUKUKU BOY
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 1,516
- 1,775
Wakuu pole na stress za Korosho, kesho timu yetu ya taifa(Taifa stars) inashuka dimbani kukipiga na Lesotho. Lakini habari mbaya tutamkosa naodha mbwana Samatta.
Je pengo lake linazibika ? Tuangalie Takwimu.
Tanzania vs Lesotho(Dar es Salam) matokeo ilikuwa 1-1. goli là TZ lilifungwa na Samatta Kwa direct freeck.
Tanzania vs Uganda(kampala) matokeo 0-0.
Cape verde vs Tanzania matokeo 3-0
Tanzania vs cape verde(Dar) matokeo 2-0 . Samatta alifunga goli moja na kutoa bonge la assist.
Tanzania imefunga julma ya goli 3 uku 2 zikifungwa na Samatta.
Je kukosekana kwa samatta hakutaigalimu timu ?
Karibu tujadili.
Je pengo lake linazibika ? Tuangalie Takwimu.
Tanzania vs Lesotho(Dar es Salam) matokeo ilikuwa 1-1. goli là TZ lilifungwa na Samatta Kwa direct freeck.
Tanzania vs Uganda(kampala) matokeo 0-0.
Cape verde vs Tanzania matokeo 3-0
Tanzania vs cape verde(Dar) matokeo 2-0 . Samatta alifunga goli moja na kutoa bonge la assist.
Tanzania imefunga julma ya goli 3 uku 2 zikifungwa na Samatta.
Je kukosekana kwa samatta hakutaigalimu timu ?
Karibu tujadili.