Kumbe nako kuna TRA
kwahiyo akina thomas ulimwengu na mbwana samatta wanapaswa kulipa kodi tra kila mwezi wakipata mishahara yao tp mazembe??Hiyo hela ni Taxable!!
kwahiyo akina thomas ulimwengu na mbwana samatta wanapaswa kulipa kodi tra kila mwezi wakipata mishahara yao tp mazembe??
embu nieleweshe zaidi
kwahiyo Kiranga na Nyani Ngabu wakibeba box na kulipwa huko walipo wanapaswa kuleta kodi ya tra hapa tz?
nielewesheni zaidi
kwahiyo akina thomas ulimwengu na mbwana samatta wanapaswa kulipa kodi tra kila mwezi wakipata mishahara yao tp mazembe??
embu nieleweshe zaidi
kwahiyo Kiranga na Nyani Ngabu wakibeba box na kulipwa huko walipo wanapaswa kuleta kodi ya tra hapa tz?
nielewesheni zaidi
kwahiyo akina thomas ulimwengu na mbwana samatta wanapaswa kulipa kodi tra kila mwezi wakipata mishahara yao tp mazembe??
embu nieleweshe zaidi
kwahiyo Kiranga na Nyani Ngabu wakibeba box na kulipwa huko walipo wanapaswa kuleta kodi ya tra hapa tz?
nielewesheni zaidi
Haziwezi kukatwa Kodi.
Kumbuka kipindi kile wakwati wa sakata ushiriki wa Big brother kwa Tanzania na maadili ya mle,
Kama unakumbuka vizuri,kundi la kina Lotus,walikuwa wanafanya ufuska mle,na yule mwenzie,pia mwisho,na Richard,na clips zote za mambo ya ngono yamo kwenye yupu tube na hata ukitafuta zinakuja.
Hii ni kuashiria hado wanakuwa wazee,basi uchafu wao utakuwemo mle,na dunia nzima kwa ujumla,hadi wanaingia kaburini basi laana ile bado inawafikia hukohuko maana kizazi kimechobakia kinabakia na uchafu badala na kumbukumbu nzuri.Na sipati picha kwamba na wao wanakuja kuwa na watoto,na hao watoto lazima waathirike kisaikolojia,maana hata wakiwa shuleni wenzao watakuwa wanachokoza na kuwaonyesha clips za baba zao au mama zao.Ni Mbaya sana
Sasa kuna kipindi waziri alifafanua kwamba hawawezi kuzuia mtanzania kushiriki Big brother maana hawana mamlaka ya kumzuia kwakuwa ni nje ya nchi na kibali hakitolewi Tanzania.
Licha ya kwamba Office za Multi choice zipo Tanzania,sasa kwa maana hiyo hata hizo pesa serikali wawe wapole,maana haziwahusupia
Watu wenye mifumo ya kodi wanafanya hivyo.
Wamarekani dunia nzima wanatakiwa kuandika Tax Return na kuwakilisha TRA yao.
Bila kujali kama wanaishi Singapore au Tanzania. Kuna dogo alikuwa Brazil-American alianzisha Facebook na Mark Zuckerberg, akakimbilia kuishi Singapore na mibiashara yake, mkono mrefu wa IRS (TRA ya Marekani) ukamfikia mpaka huko. Ikabidi kukwepa kodi ajivue uraia wa Marekani.
Soma hapa
Facebook Co-Founder May Gain Choosing Singapore over US.
Facebook Co-Founder May Gain Choosing Singapore Over U.S. - Bloomberg
Kwetu huko kodi yenyewe kulipa rasmi kimfumo kaweka Mkapa juzi, siwezi kushangaa ikiwa watu hawalipi property taxes, nini huyo Idris.
jamani mbona mapema sana kuanza kujadili pesa za idris haaaa mambo mengine ni binafsi sanaaa
kulingana na sheria ya kodi ya mapato ya mwaka 2004 kuna vitu kadhaa vya kuangalia kama ifuatavyo...
1. year of income
2. residential status...s.66
3. chargeable income....s.4
4. s.6 how that income was earned
5. double taxation
6. bilateral agreement kati ya tz na sa.
maelezo:
year of income is 2014...in that year idris alikuwa ni mtanzania na kulingana na hiyo section 66...mtanzania hata akiishi siku moja ndani ya jamhuri hata kama yuko nje ya nchi income yake inachajiwa tz...
gift,bahati nasibu n.k vyote ni vipato vinavyostahili kulipa kodi kulingana na s.4(included income subsection).
kama kuna makubaliano ya kikodi kati ya sa na tz basi kodi ikikatwa sa tz haiguswi tena ku avoid double taxation...ila kama hakuna bilateral agreement kati ya tz na sa...ikikatwa sa inaweza kukatwa tz ni busara tu ndio yaweza okoa jahazi.
kwa hiyo pesa ya idris ni lazima itakatwa kodi either tz au sa...ikikoswakoswa sa then tz itapaswa ikatwe kodi labda wafanye makusudi kama walivofanya kwenye iptl
Kumbe nako kuna TRA