Je! Pesa za Mshindi wa BBA Idris zinapaswa kukatwa kodi?


kiranga s.66 imeongelea residential status ya mtu astahiliye kukatwa kodi. pia s.6(2). ukisoma hizo mbili iko very clear ila sikumbuki exactly wording yake. sina income tax act hapa sasa hv ila nikiipata ntakuchotea...unaweza cheki mtandaoni
 
kiranga s.66 imeongelea residential status ya mtu astahiliye kukatwa kodi. pia s.6(2). ukisoma hizo mbili iko very clear ila sikumbuki exactly wording yake. sina income tax act hapa sasa hv ila nikiipata ntakuchotea...unaweza cheki mtandaoni

A tax code is only as relevant as it is enforceable.

If your original assertion is correct, how do they track kuna Watanzania wangapi wanafanya kazi nje ya nchi na mapato yao ni kiasi gani na kodi tuwakate kiasi gani, kivipi?
 
Pato la kodi kitita cha BBA, litafidia donor funds zilizozuiliwa. Hahaha hujashiba kunde,je choroko zitakushibisha.
 
Bora hata angekatwa kodi tujengee barabara asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…