Je post za ualim majibu lin?

Je post za ualim majibu lin?

Acha habari ya kuajiliwa, buni chochote ufanye wakati unasubiri. badilika, nchi inawaka moto!!!
Sasa wewe mbona unakimbele front nani amekuuliza kuhusu kuajiriwa au kujiajiri..mwenye thread kauliza post za kwenda kusoma ualimu wewe unamjibu kitu kingine...soma thread vizuri kabla ya kukurupuka kujibu..
 
Sasa wewe mbona unakimbele front nani amekuuliza kuhusu kuajiriwa au kujiajiri..mwenye thread kauliza post za kwenda kusoma ualimu wewe unamjibu kitu kingine...soma thread vizuri kabla ya kukurupuka kujibu..

Wewe mbona unamjibia, kimbelembele chako kitakuponza. Acha mwenyewe ajibu! Mimi nimenjibu yeye, response inabidi itoke kwake sio wewe! Vipi una point 28 za form 4!!!!!!
 
ndugu yangu kuwa mstaamilivu katika hilo ,post zitatoka tu najua mtaani panachosha,na mim mwenyew na wait tcu so 2po pa1
 
naona haujanielewa kwani natafuta ajira au elimu? bila elim nitajiajir vp mkuu?
 
ndugu yangu kuwa mstaamilivu katika hilo ,post zitatoka tu najua mtaani panachosha,na mim mwenyew na wait tcu so 2po pa1

bwana mdogo (mpigamsuli) punguza munkari, kwani yeye kasema kwamba yupo mtaani??? na kwani kakuuliza mambo yako na TCU?? be patient...
 
Selection tayari na zaidi mwaka huu wamechukua div3 na 4 ya point 26 maana waombaji mmekua wengi sana na soon mwezi wa 8 mtaenda huko
 
Mh!madongo mnayotupiana ninoma tuyaache hayo matokeo ya uuguzi nayo vipi?
 
bwana mdogo (mpigamsuli) punguza munkari, kwani yeye kasema kwamba yupo mtaani??? na kwani kakuuliza mambo yako na TCU?? be patient...

sure mkuu huyu dogo anamapepe sana kuanzia post hadi comment zake.
 
Back
Top Bottom