Je, Putin anapigana unpopular?

Je, Putin anapigana unpopular?

W
Urusi hawana media za propaganda??? Hivi unajua nchi nyingi za Africa mara baada ya uhuru ni wapi walienda kusomea propaganda? Unamjua vizuri Kingunge Ngombale Mwiru???
Wangapi wanaifatilia rt au hata fox news tu ya huko kwa beberu
 
Sema vyombo vya magharibi vimeteka njia zote za kutolea habari. Habari tunazosikia ni za upande mmoja tu.
Narudia tena, hivi Urusi na utemi wake wote inashindwaje kujibu mashambulizi kupitia media?? Je Puttin hana marafiki wa kumsaidia kufanya propaganda na yeye?? Kule Urusi wananchi wake wanaandamana kumpinga na hapo unasemaje au na hao waandamanaji wamelipwa buku Saba???
 
Narudia tena, hivi Urusi na utemi wake wote inashindwaje kujibu mashambulizi kupitia media?? Je Puttin hana marafiki wa kumsaidia kufanya propaganda na yeye?? Kule Urusi wananchi wake wanaandamana kumpinga na hapo unasemaje au na hao waandamanaji wamelipwa buku Saba???
Angalia hali halisi. Angalia jinsi nchi za magharibi zilivyotandaza mashirika yao makubwa ya utangazaji. angalia insi walivyoteka social networks na habari za mtandaoni. unafikiri Urusi anaweza kupigana nao kwenye vita ya media?
 
Angalia hali halisi. Angalia jinsi nchi za magharibi zilivyotandaza mashirika yao makubwa ya utangazaji. angalia insi walivyoteka social networks na habari za mtandaoni. unafikiri Urusi anaweza kupigana nao kwenye vita ya media?
Ndo maana yeye anapiga tu bila kelele mingi
 
Kwa Hali inavyoonekana hii Vita imeonekana kuwa un popular kwa Russia au Putin.

1. Kwanza, nchi nyingi zimeonesha huruma kwa Ukraine kuliko kuishangilia Urusi kuipiga Ukraine. Kwa mfano Poland amegoma kucheza na Urusi kwenye Qualifiers za world cup na Putin kunyanganywa mkanda mweusi kwenye Judo.

2. Pili, Wanachi wa Ukraine wameonesha kusimama na kupigania nchi yao kwa kushika silaha. Kuna wabunge na Kuna Rais mstaafu kaamua kuingia vitani kupigania nchi hii inaleta picha ngumu kwa Urusi kwamba hata tukiiteka Ukraine bado tutapingwa na wanchi wa hapa.

3. Tatu, Kitendo Cha Rais kuingia kwenye uwanja wa Vita kimechochea uzalendo kwenye nchi husika. Hivyo kwa njia Moja ana nyingine imeleta ugumu kwenye Vita.

4. Nne, Kitendo Cha Raia wa Urusi kuandamana kupinga nchi yao kuingia vitani Ni njia mojawapo ya kuonesha kwamba hiyo Vita haikuwa priority ya nchi.
[QUOTE/]
Kwa jicho la siasa za kimataifa, ni uchambuzi mzuri na umetulia sana.
 
Punguzeni mihemko Putin Putin Putin si mmfate huko
 
Tusiwe na double standards US
ndio anaongoza kwa kushambulia nchi nyingine kama Iraq walisingiziwa wana biological weapons

Lakini US wananchi wa Iraq walimuunga mkono Hadi kuangusha sanamu lake. Ila Hali Ni tofauti kwa Urusi wananchi hawamtaki.
 
Kwa Hali inavyoonekana hii Vita imeonekana kuwa un popular kwa Russia au Putin.

1. Kwanza, nchi nyingi zimeonesha huruma kwa Ukraine kuliko kuishangilia Urusi kuipiga Ukraine. Kwa mfano Poland amegoma kucheza na Urusi kwenye Qualifiers za world cup na Putin kunyanganywa mkanda mweusi kwenye Judo.

2. Pili, Wanachi wa Ukraine wameonesha kusimama na kupigania nchi yao kwa kushika silaha. Kuna wabunge na Kuna Rais mstaafu kaamua kuingia vitani kupigania nchi hii inaleta picha ngumu kwa Urusi kwamba hata tukiiteka Ukraine bado tutapingwa na wanchi wa hapa.

3. Tatu, Kitendo Cha Rais kuingia kwenye uwanja wa Vita kimechochea uzalendo kwenye nchi husika. Hivyo kwa njia Moja ana nyingine imeleta ugumu kwenye Vita.

4. Nne, Kitendo Cha Raia wa Urusi kuandamana kupinga nchi yao kuingia vitani Ni njia mojawapo ya kuonesha kwamba hiyo Vita haikuwa priority ya nchi.

Mwisho, Vita vikitulia na URUSI akashindwa kuidhibiti Ukraine, Kuna hatari akaletewa mashtaka ya uhalifu was kivita na vikwazo Mara mbili kumkomoa maana maadui zake walitaka kuona reaction itakuwaje kwenye Vita, Sasa wameona hata Raia wa Ukraine na Urusi hawaungi mkono hiyo Vita.
Uchambuzi wako haupo huru period.
 
Upopular ipi man?Maana vyombo ya habari vya west ndo vinapika propaganda ili ionekane urusi anachukiwa

Kwa hivyo Urusi Hana vyombo vua habari?. Kama Hana vyombo vya habari shauri zake.
 
Kwa Hali inavyoonekana hii Vita imeonekana kuwa un popular kwa Russia au Putin.

1. Kwanza, nchi nyingi zimeonesha huruma kwa Ukraine kuliko kuishangilia Urusi kuipiga Ukraine. Kwa mfano Poland amegoma kucheza na Urusi kwenye Qualifiers za world cup na Putin kunyanganywa mkanda mweusi kwenye Judo.

2. Pili, Wanachi wa Ukraine wameonesha kusimama na kupigania nchi yao kwa kushika silaha. Kuna wabunge na Kuna Rais mstaafu kaamua kuingia vitani kupigania nchi hii inaleta picha ngumu kwa Urusi kwamba hata tukiiteka Ukraine bado tutapingwa na wanchi wa hapa.

3. Tatu, Kitendo Cha Rais kuingia kwenye uwanja wa Vita kimechochea uzalendo kwenye nchi husika. Hivyo kwa njia Moja ana nyingine imeleta ugumu kwenye Vita.

4. Nne, Kitendo Cha Raia wa Urusi kuandamana kupinga nchi yao kuingia vitani Ni njia mojawapo ya kuonesha kwamba hiyo Vita haikuwa priority ya nchi.

Mwisho, Vita vikitulia na URUSI akashindwa kuidhibiti Ukraine, Kuna hatari akaletewa mashtaka ya uhalifu was kivita na vikwazo Mara mbili kumkomoa maana maadui zake walitaka kuona reaction itakuwaje kwenye Vita, Sasa wameona hata Raia wa Ukraine na Urusi hawaungi mkono hiyo Vita.
Pumba tupu[emoji706][emoji706][emoji706]
 
Kwa Hali inavyoonekana hii Vita imeonekana kuwa un popular kwa Russia au Putin.

1. Kwanza, nchi nyingi zimeonesha huruma kwa Ukraine kuliko kuishangilia Urusi kuipiga Ukraine. Kwa mfano Poland amegoma kucheza na Urusi kwenye Qualifiers za world cup na Putin kunyanganywa mkanda mweusi kwenye Judo.

2. Pili, Wanachi wa Ukraine wameonesha kusimama na kupigania nchi yao kwa kushika silaha. Kuna wabunge na Kuna Rais mstaafu kaamua kuingia vitani kupigania nchi hii inaleta picha ngumu kwa Urusi kwamba hata tukiiteka Ukraine bado tutapingwa na wanchi wa hapa.

3. Tatu, Kitendo Cha Rais kuingia kwenye uwanja wa Vita kimechochea uzalendo kwenye nchi husika. Hivyo kwa njia Moja ana nyingine imeleta ugumu kwenye Vita.

4. Nne, Kitendo Cha Raia wa Urusi kuandamana kupinga nchi yao kuingia vitani Ni njia mojawapo ya kuonesha kwamba hiyo Vita haikuwa priority ya nchi.

Mwisho, Vita vikitulia na URUSI akashindwa kuidhibiti Ukraine, Kuna hatari akaletewa mashtaka ya uhalifu was kivita na vikwazo Mara mbili kumkomoa maana maadui zake walitaka kuona reaction itakuwaje kwenye Vita, Sasa wameona hata Raia wa Ukraine na Urusi hawaungi mkono hiyo Vita.
Kwa mtazamo wangu, Russia hakutakiwa kuingia moja kwa moja Ukraine, bali alitakiwa awatengenezee mgogoro wa ndani.
 
Urusi hawana media za propaganda??? Hivi unajua nchi nyingi za Africa mara baada ya uhuru ni wapi walienda kusomea propaganda? Unamjua vizuri Kingunge Ngombale Mwiru???
Urusi wana RT. Ina propaganda
 
Let the mighty God intervene for sure!
Vita ya Ukraine na Urusi ni kati ya wayahudi wa Ukraine na wasio wayahudi

Myahud Daudi Zelensnkyy Raisi wa Ukraine lazima utamshinda Goliathi Putin Raisi wa Urusi kwenye hii vita

Mungu ataonyesha muujiza utakaoiacha dunia hoi kwa kipigo atakachopata Goliathi Putin na Jeshi lake

Goliath Putin unakwenda kuanguka kwa Jina la Yesu na Jeshi lako

Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo aliyewapigania wayahudi karne nyingi awashindie dhidi ya huyo Goliath Putin
 
Back
Top Bottom