Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Wangapi wanaifatilia rt au hata fox news tu ya huko kwa beberuUrusi hawana media za propaganda??? Hivi unajua nchi nyingi za Africa mara baada ya uhuru ni wapi walienda kusomea propaganda? Unamjua vizuri Kingunge Ngombale Mwiru???
Narudia tena, hivi Urusi na utemi wake wote inashindwaje kujibu mashambulizi kupitia media?? Je Puttin hana marafiki wa kumsaidia kufanya propaganda na yeye?? Kule Urusi wananchi wake wanaandamana kumpinga na hapo unasemaje au na hao waandamanaji wamelipwa buku Saba???Sema vyombo vya magharibi vimeteka njia zote za kutolea habari. Habari tunazosikia ni za upande mmoja tu.
Ukraine ndiyo walikuwa Libya??Vipi Libya walimwaga maji? msiwe biased.. vita mbaya haifai kushabikiwa kwa mtu aina yoyote
Angalia hali halisi. Angalia jinsi nchi za magharibi zilivyotandaza mashirika yao makubwa ya utangazaji. angalia insi walivyoteka social networks na habari za mtandaoni. unafikiri Urusi anaweza kupigana nao kwenye vita ya media?Narudia tena, hivi Urusi na utemi wake wote inashindwaje kujibu mashambulizi kupitia media?? Je Puttin hana marafiki wa kumsaidia kufanya propaganda na yeye?? Kule Urusi wananchi wake wanaandamana kumpinga na hapo unasemaje au na hao waandamanaji wamelipwa buku Saba???
Ndo maana yeye anapiga tu bila kelele mingiAngalia hali halisi. Angalia jinsi nchi za magharibi zilivyotandaza mashirika yao makubwa ya utangazaji. angalia insi walivyoteka social networks na habari za mtandaoni. unafikiri Urusi anaweza kupigana nao kwenye vita ya media?
Kwa Hali inavyoonekana hii Vita imeonekana kuwa un popular kwa Russia au Putin.
1. Kwanza, nchi nyingi zimeonesha huruma kwa Ukraine kuliko kuishangilia Urusi kuipiga Ukraine. Kwa mfano Poland amegoma kucheza na Urusi kwenye Qualifiers za world cup na Putin kunyanganywa mkanda mweusi kwenye Judo.
2. Pili, Wanachi wa Ukraine wameonesha kusimama na kupigania nchi yao kwa kushika silaha. Kuna wabunge na Kuna Rais mstaafu kaamua kuingia vitani kupigania nchi hii inaleta picha ngumu kwa Urusi kwamba hata tukiiteka Ukraine bado tutapingwa na wanchi wa hapa.
3. Tatu, Kitendo Cha Rais kuingia kwenye uwanja wa Vita kimechochea uzalendo kwenye nchi husika. Hivyo kwa njia Moja ana nyingine imeleta ugumu kwenye Vita.
4. Nne, Kitendo Cha Raia wa Urusi kuandamana kupinga nchi yao kuingia vitani Ni njia mojawapo ya kuonesha kwamba hiyo Vita haikuwa priority ya nchi.
[QUOTE/]
Kwa jicho la siasa za kimataifa, ni uchambuzi mzuri na umetulia sana.
Tusiwe na double standards US
ndio anaongoza kwa kushambulia nchi nyingine kama Iraq walisingiziwa wana biological weapons
Uchambuzi wako haupo huru period.Kwa Hali inavyoonekana hii Vita imeonekana kuwa un popular kwa Russia au Putin.
1. Kwanza, nchi nyingi zimeonesha huruma kwa Ukraine kuliko kuishangilia Urusi kuipiga Ukraine. Kwa mfano Poland amegoma kucheza na Urusi kwenye Qualifiers za world cup na Putin kunyanganywa mkanda mweusi kwenye Judo.
2. Pili, Wanachi wa Ukraine wameonesha kusimama na kupigania nchi yao kwa kushika silaha. Kuna wabunge na Kuna Rais mstaafu kaamua kuingia vitani kupigania nchi hii inaleta picha ngumu kwa Urusi kwamba hata tukiiteka Ukraine bado tutapingwa na wanchi wa hapa.
3. Tatu, Kitendo Cha Rais kuingia kwenye uwanja wa Vita kimechochea uzalendo kwenye nchi husika. Hivyo kwa njia Moja ana nyingine imeleta ugumu kwenye Vita.
4. Nne, Kitendo Cha Raia wa Urusi kuandamana kupinga nchi yao kuingia vitani Ni njia mojawapo ya kuonesha kwamba hiyo Vita haikuwa priority ya nchi.
Mwisho, Vita vikitulia na URUSI akashindwa kuidhibiti Ukraine, Kuna hatari akaletewa mashtaka ya uhalifu was kivita na vikwazo Mara mbili kumkomoa maana maadui zake walitaka kuona reaction itakuwaje kwenye Vita, Sasa wameona hata Raia wa Ukraine na Urusi hawaungi mkono hiyo Vita.
Pumba tupu[emoji706][emoji706][emoji706]Kwa Hali inavyoonekana hii Vita imeonekana kuwa un popular kwa Russia au Putin.
1. Kwanza, nchi nyingi zimeonesha huruma kwa Ukraine kuliko kuishangilia Urusi kuipiga Ukraine. Kwa mfano Poland amegoma kucheza na Urusi kwenye Qualifiers za world cup na Putin kunyanganywa mkanda mweusi kwenye Judo.
2. Pili, Wanachi wa Ukraine wameonesha kusimama na kupigania nchi yao kwa kushika silaha. Kuna wabunge na Kuna Rais mstaafu kaamua kuingia vitani kupigania nchi hii inaleta picha ngumu kwa Urusi kwamba hata tukiiteka Ukraine bado tutapingwa na wanchi wa hapa.
3. Tatu, Kitendo Cha Rais kuingia kwenye uwanja wa Vita kimechochea uzalendo kwenye nchi husika. Hivyo kwa njia Moja ana nyingine imeleta ugumu kwenye Vita.
4. Nne, Kitendo Cha Raia wa Urusi kuandamana kupinga nchi yao kuingia vitani Ni njia mojawapo ya kuonesha kwamba hiyo Vita haikuwa priority ya nchi.
Mwisho, Vita vikitulia na URUSI akashindwa kuidhibiti Ukraine, Kuna hatari akaletewa mashtaka ya uhalifu was kivita na vikwazo Mara mbili kumkomoa maana maadui zake walitaka kuona reaction itakuwaje kwenye Vita, Sasa wameona hata Raia wa Ukraine na Urusi hawaungi mkono hiyo Vita.
angekuwa ajielewi asingekuwa kiongozi wa nchiNani amfate mtu asiyejielewa.
Kwa mtazamo wangu, Russia hakutakiwa kuingia moja kwa moja Ukraine, bali alitakiwa awatengenezee mgogoro wa ndani.Kwa Hali inavyoonekana hii Vita imeonekana kuwa un popular kwa Russia au Putin.
1. Kwanza, nchi nyingi zimeonesha huruma kwa Ukraine kuliko kuishangilia Urusi kuipiga Ukraine. Kwa mfano Poland amegoma kucheza na Urusi kwenye Qualifiers za world cup na Putin kunyanganywa mkanda mweusi kwenye Judo.
2. Pili, Wanachi wa Ukraine wameonesha kusimama na kupigania nchi yao kwa kushika silaha. Kuna wabunge na Kuna Rais mstaafu kaamua kuingia vitani kupigania nchi hii inaleta picha ngumu kwa Urusi kwamba hata tukiiteka Ukraine bado tutapingwa na wanchi wa hapa.
3. Tatu, Kitendo Cha Rais kuingia kwenye uwanja wa Vita kimechochea uzalendo kwenye nchi husika. Hivyo kwa njia Moja ana nyingine imeleta ugumu kwenye Vita.
4. Nne, Kitendo Cha Raia wa Urusi kuandamana kupinga nchi yao kuingia vitani Ni njia mojawapo ya kuonesha kwamba hiyo Vita haikuwa priority ya nchi.
Mwisho, Vita vikitulia na URUSI akashindwa kuidhibiti Ukraine, Kuna hatari akaletewa mashtaka ya uhalifu was kivita na vikwazo Mara mbili kumkomoa maana maadui zake walitaka kuona reaction itakuwaje kwenye Vita, Sasa wameona hata Raia wa Ukraine na Urusi hawaungi mkono hiyo Vita.
Urusi wana RT. Ina propagandaUrusi hawana media za propaganda??? Hivi unajua nchi nyingi za Africa mara baada ya uhuru ni wapi walienda kusomea propaganda? Unamjua vizuri Kingunge Ngombale Mwiru???
Vita ya Ukraine na Urusi ni kati ya wayahudi wa Ukraine na wasio wayahudiLet the mighty God intervene for sure!