FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Acha chai pesa wanaingiza ila sio 50M hii 50M hata kwa wiki hawafikishi, hivi unaijua 100Mil au unatamka tu?? Wale njaa kaliWanatengeneza pesa nyingi sana ndani ya muda mfupi. Nakumbuka jamaa alining'ata sikio yupo pale Clouds Digital department alinambia sijui ndiyo Biko ile kama sikosei, ndani ya nusu saa au saa 1 kama sijakosea walikua wanaingiza mpunga mrefu karibuni milioni 50 au 100 ile kama kumbukumbu zipo sawa.
Kuhusu droo kuna software inatumika inachagua randomly.
Endelea kukaza fuvu dogo.Acha chai pesa wanaingiza ila sio 50M hii 50M ata kwa wiki awafikishi ivi unaijua 100Mil au unatamka tu?? Wale njaa kali
Na kipindi cha tatu mzuka ilipokolea nako utabishaAcha chai pesa wanaingiza ila sio 50M hii 50M ata kwa wiki awafikishi ivi unaijua 100Mil au unatamka tu?? Wale njaa kali
Acha ubishi, tupe data zako basi!Acha chai pesa wanaingiza ila sio 50M hii 50M ata kwa wiki awafikishi ivi unaijua 100Mil au unatamka tu?? Wale njaa kali
LotteryYaani ili kupata namba ya ushindi hiwa wanatumia mechanism gani ku’roll the dice’?
Yaani mtu anaibuka tu anakwambia tunamoigia mshind
Hiyo software credibility yake ikoje, nani anaikagua fairness yake?Wanatengeneza pesa nyingi sana ndani ya muda mfupi. Nakumbuka jamaa alining'ata sikio yupo pale Clouds Digital department alinambia sijui ndiyo Biko ile kama sikosei, ndani ya nusu saa au saa 1 kama sijakosea walikuwa wanaingiza mpunga mrefu karibuni milioni 50 au 100 ile kama kumbukumbu zipo sawa.
Kuhusu droo kuna software inatumika inachagua randomly.
IPO TUME YA KURATIBU MICHEZO YA KUBAHATISHA, HUWA WANAKAGUA KILA MARAHiyo software credibility yake ikoje, nani anaikagua fairness yake?
hii mimi inanishangaza sanaYaani ili kupata namba ya ushindi huwa wanatumia mechanism gani ku’roll the dice’?
Yaani mtu anaibuka tu anakwambia tunamoigia mshindi, from nowhere! Akimpigia mtoto wa mjomba wake je? Hakuna transparency kama ya sports betting, ambapo goli likifungwa kila mtu analiona na hakuna ujanja ujanja..
Kucheza kamari za redioni ni sawa na kujitekenya ukitegemea ucheke, its utter nonsense
Utapeli wa kuchangishwa gizani kisha waliochanga wanachagua kwa generate sasa sijui kwa kuona tumpe naniYaani ili kupata namba ya ushindi huwa wanatumia mechanism gani ku’roll the dice’?
Yaani mtu anaibuka tu anakwambia tunamoigia mshindi, from nowhere! Akimpigia mtoto wa mjomba wake je? Hakuna transparency kama ya sports betting, ambapo goli likifungwa kila mtu analiona na hakuna ujanja ujanja..
Kucheza kamari za redioni ni sawa na kujitekenya ukitegemea ucheke, its utter nonsense
Acha chai pesa wanaingiza ila sio 50M hii 50M hata kwa wiki hawafikishi, hivi unaijua 100Mil au unatamka tu?? Wale njaa kali
Hahahaha ati mtu anatuma buku kabisa 🤣 akitegemea atashinda. Bora kamari ya Man U win unaona kabisa chance ya kushinda au kukosa.Najiulizaga Hawa wanaocheza hii michezo Kama kweli zimo kichwani.
kama ni software, randomness hakunaHiyo software credibility yake ikoje, nani anaikagua fairness yake?