masanjasb
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 2,364
- 867
Kumekucha wanajamvi?
maana kulala uraiani na kuamka jela limekuwa jambo la kawaida sana hapa kwetu ndo maana nauliza kama kumekucha na makucha yetu salama?
Leo nina swali moja kuu la msingi na kama raia wa Tanzania ninao uhuru wa kuhoji as long as sivunji katiba na sheria za nchi yangu.
Swali kuu nimeuliza hapo juu kabisa kuwa ni kwa nini bwana Lameck alikuwa na ushahidi wa kesi ya Lwakatare na hata kuuonyesha bungeni katika bunge hili linaloendelea sasa tena mbele ya waziri wa wizara husika na wala hakuchukuliwa hatua yoyote.
Je kwa raia wa kawaida naweza kaa na ushahidi wa kesi kubwa kama ya ugaidi mfukoni mwangu na hata kuonyesha rafiki zangu huku mtaani kuwa nina ushahidi wa kesi ya mtu fulani nasubr kuitwa tu ili nikautoe huu ushahidi,naniko tayari kuutoa hapa duniani na hata Mwigulu?<mbinguni kwa lugha za kabila moja maarufa hapa nchini ni Mwigulu.
Kwa faida ya wengi naomba nijibiwa na wanasheria na sio pro-cdm wala pro-ccm
maana kulala uraiani na kuamka jela limekuwa jambo la kawaida sana hapa kwetu ndo maana nauliza kama kumekucha na makucha yetu salama?
Leo nina swali moja kuu la msingi na kama raia wa Tanzania ninao uhuru wa kuhoji as long as sivunji katiba na sheria za nchi yangu.
Swali kuu nimeuliza hapo juu kabisa kuwa ni kwa nini bwana Lameck alikuwa na ushahidi wa kesi ya Lwakatare na hata kuuonyesha bungeni katika bunge hili linaloendelea sasa tena mbele ya waziri wa wizara husika na wala hakuchukuliwa hatua yoyote.
Je kwa raia wa kawaida naweza kaa na ushahidi wa kesi kubwa kama ya ugaidi mfukoni mwangu na hata kuonyesha rafiki zangu huku mtaani kuwa nina ushahidi wa kesi ya mtu fulani nasubr kuitwa tu ili nikautoe huu ushahidi,naniko tayari kuutoa hapa duniani na hata Mwigulu?<mbinguni kwa lugha za kabila moja maarufa hapa nchini ni Mwigulu.
Kwa faida ya wengi naomba nijibiwa na wanasheria na sio pro-cdm wala pro-ccm