Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ndio pagumOk sasa kisheria kuna uwezekano kuwatia nguvuni akina six?Mpunga mrefu je unarudishwa vipi mpunga wawananchi?
Tutaanza mchakato upya hii ya ccm hatuwezi kuikubali.
VOTE FOR UKAWA
Naona mmefarijiana vya kutosha inaelekea hamna kazi ya kufanya leo!
Najiuliza endapo Rais ajaye akiikataa katiba pendekezwa je anaweza kutengua maamuzi ya Rais aliyemtangulia je sheria inasemaje? Au lazima arudishe mswaada bungeni?
Watarudisha pesa zetu zote .Ok sasa kisheria kuna uwezekano kuwatia nguvuni akina six?
Mpunga mrefu je unarudishwa vipi mpunga wawananchi?
Bado una ndoto ccm itaendelea kutawala labda motoni
Watarudisha pesa zetu zote .
Nahisi wewe una mapepo leo??Bado una ndoto ccm itaendelea kutawala labda motoni
Hapo ndio pagum
Hapo ndio pagum
Najiuliza endapo Rais ajaye akiikataa katiba pendekezwa je anaweza kutengua maamuzi ya Rais aliyemtangulia je sheria inasemaje? Au lazima arudishe mswaada bungeni?
Sikweli nakamwili kembambaaaAvatar yako inaonesha tabia yako inafanana na hayo. MOTOCHINI inawezekana NGOMA JUU
Haya nduguAcheni kujazana upepo usiku huu mkashindwa kulala!!!Katiba itapigiwa kura na itaingia mzigoni!!
Sikweli nakamwili kembambaaa