Je, Rais Magufuli amevunja Katiba kwa kumteua Jaji Zepherine Nyalugenda Galeba kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaa?

Je, Rais Magufuli amevunja Katiba kwa kumteua Jaji Zepherine Nyalugenda Galeba kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaa?

Watu mnahangaika bure, JIWE ndiye Jaji Mkuu na JIWE ndiye Spika - hao waliopo ni justification tu ya position kikatiba
 
Mkuu nakuomba utulie tu utaishia kuugua vidonda vya tumbo,

Raisi anamamlaka yakufanya chochote kadri awezavyo au itakavyompendeza ilimradi tu hicho kitu kiwe na manufaa kwa Taifa,

Na hashitakiwi popote pale kwa sheria zenu hizo hizo mnazozikazia mishipa ya shingo

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Duh!! Hii Ni danger!!
 
... thanks Mkuu. Ndio maana nilisema "ni mtazamo wangu".
Kwa kuongezea, uteuzi ni PROCESS... Inaanza kwenye kuangalia katiba na sheria mbalimbali zinasema nini unapotaka kumteua mtu kwenye nafasi fulani, unafanya veting, unamteua na kumpa taarifa au kimya kimya anashitukia tu katangazwa, akipewa taarifa anapewa nafasi ya kusema ndiyo au hapana, then inatangazwa kwa PUBLIC then mtu anashika nafasi na kuanza kazi rasmi...

WITHIN THE PROCESS, chochote kikikiukwa, hasa vya kisheria au kikatiba, KUTANGAZA HAKUHALALISHI IVUNJAJI WA KATIBA.... kutangaza huku katiba imekiukwa, ni sawa na kuwatangazia watu kuwa umeamua kuvunja katiba... KWAKE SI MARA YA KWANZA... si tunakumbuka wale wabunge wanaume wa kuteuliwa walitakiwa wasizidi watano.!? Na bahati mbaya akishateua mbunge, hana uwezo wa kumtengua..!! ikabidi mteuliwa atumie busara ya kujiuzulu yeye mwenyewe na akapewa nafasi nyingine, kama sijakosea ubalozi..
 
kwa kitendo cha kutamka mbele ya Jaji Mkuu ni wazi kabisa tayari amewasiliana naye(impliedly),yuko sawa kabisa.

kumbuka pia Rais anashauriwa tu na halazimishwi wala hapingwi kwa alicho kiona yeye ni sawa.

yuko sahihi kikatiba, hakuna katiba wala sheria yoyote iliyo vunjwa.
tusimuonee wivu mteule Jaji wa rufaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna walakini kwenye maelezo yako, kama kila kitu kitaamuliwa kwa anavyoona yeye kuwa ni sawa, NINI MAANA YA KUWA NA KATIBA?
 
Mkuu nakuomba utulie tu utaishia kuugua vidonda vya tumbo,

Raisi anamamlaka yakufanya chochote kadri awezavyo au itakavyompendeza ilimradi tu hicho kitu kiwe na manufaa kwa Taifa,

Na hashitakiwi popote pale kwa sheria zenu hizo hizo mnazozikazia mishipa ya shingo

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Maelezo haya ................. Ilimradi tu kiwe na manufaa kwa taifa... maana yake hawezi fanya chochote...!! huoni kama unajipinga mwenyewe..!?
 
nisikilize vizuri hukumu ya kiswahili sio ya kwanza, na kwa mahakama kuu kitengo cha kazi hukumu inaweza kua ya kiswahili au kiingereza na zimeshaandikwa nyingi kadhaa miaka ya nyuma.Nilimshangaa Rais kusema kitendo cha kuandika hukumu ya kiswahili ni ushujaa wakati sheria inaruhusu, kifungu cha 4 cha the Labour Court Rules of 2007 kinasema lugha ya makahakama itakua bi-lingual kiswahili au kiingereza.Hivyo jaji hakufanya jambo jipya bali alitumia mamlaka aliyopewa kisheria.Angeweza kupewa tuzo ya kukuza kiswahili lakini si kuteuliwa kua jaji wa mahakama ya Rufani kwa kigezo tu cha kuandika hukumu kwa kiswahili,toka uhuru mahakama za mwanzo hazijawahi andika hukumu kwa kiingereza bali huandika kwa kiswahili.Inafurahisha mheshimiwa kila siku anasaini miswada na sheria kwa kiingereza sijawahi sikia akitaka iandikwe kwa kiswahili.
Umeliweka vizuri, kongole
 
Kasi kwa kuvunja Katiba, kumbe wewe takataka... huwa nakufikiria kama sensible man/lady, kumbe...

Wewe ndo tatizo. Hujaona kivuko kimepelekwa Mafia / rufiji. Kwa Mfano habari yako inaleta kitu gani positive katika maisha ya watanzania. Ukikaa na kuishi kutafuta makosa huwezi kuwa na mtu yeyote duniani. Jaribu kuwa positive. Andika maandiko ya kuelemisha. Kuburidisha. Lakini Pia. Ishi maisha ya Mfano. Mana kwa maandiko yako unaonekana kuwa huridhiki na maisha na negativity. Seeing always a half empty cup of something and not the half full cup of .... just be positive.
 
Am
Mkuu, kiutaratibu appointment inakamilika pale mhusika anakapokabidhiwa barua ya uteuzi na kusaini kukubali uteuzi huo. So, kwa kuwa process hiyo haijakamilika maana yake hakuna uteuzi uliofanyika na, kwa maana hiyo, Rais hajavunja Katiba.

Atashauriana na wahusika hapo baadaye kama Katiba inavyotaka na mhusika kuteuliwa rasmi kwa barua kukamilisha process. Ni mtazamo wangu tu lakini.
Ameapishwa leo mzee baba na uteuzi umeanza rasmi leo. Unalo la kusema tena
 
Mimi ambae sijasoma sheria nimeelewa kwamba anaweza kumteua yeyote ambae amekua na vigezo vya kuwa Jaji wa mahakama kuu kwa miaka 15 ama zaidi.

Haisemi ambae amekua Jaji wa mahakama kuu kwa miaka 15 ama zaidi.

Labda utupatie hivyo vigezo vinavyotajwa ili tujue kama hiyo 2005 huyu jaji alikua navyo ama Lah.
have possessed such qualifications .... what are such qualifications? zitafute hizo halafu urudi tujadili
 
have possessed such qualifications .... what are such qualifications? zitafute hizo halafu urudi tujadili

Ungesoma nilichoandika kwenye Aya ya mwisho usingenipatia mimi tena hayo majukumu, nina imani una sources za hivyo vigezo ndio maana nikakuomba utuletee ili tuvifahamu na kuona kama Mheshimiwa Jaji alikua navyo hiyo 2005 kurudi nyuma ama hakua navyo.
 
Oneni hata ikulu kahamishia chato
Sio tatizo lake ni letu Watanzania. Katiba yetu inampa Rais wa JYMTZ maamlaka makubwa kiasi kwamba anaweza kuwa mungu mtu. Kwa pamoja tumuombee amuue kwa hiari yake kuruhusu mchakato katiba ya wananchi.
 
hii ina nafasi yake , unaweka PO... all these things are taken care of! Usitetee udikiteita!

PO ni culprit nyingine ya ucheleweshaji wa kesi ya msingi. Nimeona POs zikichukua zaidi ya mwaka kuamuliwa. Hii inaepukika, registry ikifanya kazi zake ipasavyo. Ndiyo maana registrar/deputy registrar mwenyewe ni mtu ambaye wakati mwingine tayari ana sifa za kuteuliwa kuwa judge. They shouldn’t admit every stupid appeal that comes their way!
 
PO ni culprit nyingine ya ucheleweshaji wa kesi ya msingi. Nimeona POs zikichukua zaidi ya mwaka kuamuliwa. Hii inaepukika, registry ikifanya kazi zake ipasavyo. Ndiyo maana registrar/deputy registrar mwenyewe ni mtu ambaye wakati mwingine tayari ana sifa za kuteuliwa kuwa judge. They shouldn’t admit every stupid appeal that comes their way!
Let the judge say this, not any other person.
 
Back
Top Bottom