Je, Rais Magufuli anachelewesha Baraza la Mawaziri sababu Serikali haina pesa?

Toka huu uzi tumeona matendo mengi ya serikali yanayothiirisha kwamba ni kweli. Jana Magufuli kafuta sherehe za uhuru, na mpaka leo hajateua Baraza la Mawaziri. Tumeona pia jinsi serikali ina mpango wa kuhakiki wastaafu wote kqenye pensheni, walikua wapi siku zote? Wafanyabiashara mtakoma miaka hii mitano

Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
 
Ngoja waonje joto ya jiwe. Yule waziri wa kikootoo kipya atakuwa anashinda kwa fundi sasa.
 
naona umeingia joto unataka upandwe kama lissu anavyopandwa na beberu amsterdam kwa mshahara wa eti "kumpeleka rais halali ndugu kayafa jiwe icc"

Mtapandwa mno ndugu zangu
Mimi binafsi siwezi kujipendekeza kwa beberu kama nyie timu pombe wazee wa dagi😂😂

#jr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…