Je, Rais Samia kusafiri nchi mbili kufuatia vifo vya viongozi wakuu wastaafu?

Je, Rais Samia kusafiri nchi mbili kufuatia vifo vya viongozi wakuu wastaafu?

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Mipango ya Mungu haiepukiki. Kama mnavyojua dunia imepata mapigo mawili ya misiba Shinzo Abe wa Japan na Rais mstaafu wa Angola ndg Dos Santos.

Kwa sababu za kiprotokali mama Samia wiki ijayo huenda akawa bize Sana, kwanza ataenda Tokyo kutoa heshima zake za mwisho kwa Wajapan na familia kwa ujumla ya bwana Abe.

Baadae atarudi nyumbani kabla ya kuruka kuelekea Luanda kutoa heshima zake za mwisho kwa marehemu Dos Santos.

Safari ya Angola Haina uhakika sana hasa ikizingatiwa mama sio mtu wa safiri Sana ndani ya bara ikumbukwe hakwenda Rwanda na Kenya hapa juzi.
Huenda mpango kumuwakilisha.
Kila la Heri mama Sa
 
Angalie usije kuingia matatizoni kwani awamu hii hawana dogo.
 
Mwacheni mama WA watu aponde RAHA.....ponda Mali mama kufa kwaja
 
Iliwahi kutokea enzi ya Alhaj Kikwete wa Msoga...alirudi kutoka Uingereza saa 2:00 asubuhi akapaa saa 4:00 asubuhi ya siku hiyo hyo akaelekea Bondeni kwenye msiba wa Madiba...watu wakasema ikulu ijengwe karibu na Airport
 
Daah nimeyakumbuka sana maisha ya MFA kula mipadiemu na mapochopocho ya kila namna.... mliopo kuleni kwa urefu wa kamba zenu acheni wafu watembeao wapambane na mapenzi ya kina harmonize na Kajala.....

Mama Samia mimina asali mama walio karibu wailambe sio shida zaoooo....

Halafu hujaja Scandinavian countries kabisa karibu mama tumwagilie moyo.
 
Back
Top Bottom