Je, Rais Samia na PM wameamua kutumia usafiri wa umma ku-cut cost kwenye ziara zao? | Majaliwa alitua Kigoma kwa Precision, Rais akaondoka na Emirates

Mkuu Mungu ametulaani wabongo kumezaliwa watu kuchonga midomo hata bila kwanza kupiga mswaki.
 
Wewe unadhani haiwezekani?

Acheni Roho mbaya Serikali inafanya kazi kubwa sana hii

Jibu maswali yangu mawili.
1. Hiyo kwenye picha ni Precisionair?

2. Ilibeba na abiria wengine au ilimchukua waziri mkuu na msafara wake pekee.

Kuhusu kazi inayofanya serikali tutaziona na kuna wasemaji wake na wanalipwa mshahara kwa hiyo kazi.
 
Naona wapinzani unawasingizia tu!

Wanaompinga na kumhujumu raisi samia wala siyo wapinzani,ni wanaCCM masilahi,ambao walikuwa wananufaika na siasa za hovyo za kibabe za mwendazake. Hawa wanaCCM masilahi wanataka mama atawale nchi kwa mtindo wa mwendazake. Hawataki aongeze nchi kwa utashi wake!
 
Mbaya sana hii,

Awamu ya sita ni moto mkali,
 
Proud of,

Samia
Mpango
Majaliwa

Haya ni majembe kwelikweli,
Haya mambo hayakuwahi kutokea kabisa
 
Hiyo kwenye video iliyoambatanishwa ni Precisionair?

Tufanye ni yenyewe, kwamba ilikua na abiria wengine akashuka kwanza yeye kwenye zulia jekundu na abiria wakaenda kushushwa eneo la abiria ama ilikuaje? Nauliza tu nifahamishwe!
Acha kushangaa ndio awamu ya sita hiyo,

Kazi iendee
 
Najivunia kuwa raia wa TANZANIA.....

Najivunia kuwa na rais wetu kipenzi chifu mkuu mh.Hangaya SSH!

Najivunia kuwa na makamu wa Rais mh.Philip I.Mpango na PM mh. Kassim Majaliwa [emoji123][emoji106][emoji109][emoji7]

#NchiKwanza
#SiempreJMT
Alafu unaishi store, mbona hujivunii kwa hilo
 
Daah,

Chadema poleni sana,
 
Machagadema sijui kwann yanakuwa mazezeta kiasi hiki.

Precision hapo iko wapi?

Mh. Rais au Waziri Mkuu unajua taratibu zao za usafiri wa Anga wanatakiwa watumie ndege za Serikali, sbb zipo nyingi, moja wapo ni security and safety..

Ww unaandika upuuzi tu humu, unadhania kutumia ndege za serikali ni ghali kuliko ndege za biashara? Ndege za serikali ni bei nafuu mnoo kuliko ndege zingine za kukodi.
 
Alienda peke ake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…