Je, Rais Samia ni mfuasi wa sera ya kazi na bata?

Je, Rais Samia ni mfuasi wa sera ya kazi na bata?

Kingdan

Member
Joined
May 5, 2020
Posts
61
Reaction score
49
Habari wa jf wenzangu,

Kwa mujibu wa hotuba ya mheshimiwa rais ya tarehe 6April2021. Nmesikia mama amezungumza mengi lakini muelekeo wake najaribu kuuhusianisha na kaulimbiu ya mzee wa dakika 90,bwana Membe,

Je,kwa mujibu wa hotuba ile ni kweli inawezekana BCM nae akawa mshauri maana mama anataka Watz tuwe na hela mfukoni kwa kuruhusu sana wawekezaji nchini,lakink pia kutaka watumishi watumie akili sio nguvu,

Kwa mtazamo huo, je,ni kweli mama anaungana na jasusi ili Tanzania tuwe na furaha?
 
Kwakweli mimi ni muumini wa Sera ya kazi na Bata na nimejiajiri nafanya kazi siku nne za wiki zingine napumzika

Haya mambo ya hapa kazi tu kumbe ni Wizi tu hayafai.
 
Kwakweli mimi ni muumini wa Sera ya kazi na Bata na nimejiajiri nafanya kazi siku nne za wiki zingine napumzika

Haya mambo ya hapa kazi tu kumbe ni Wizi tu hayafai.

🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom