Nakumbuka Ajibu aliposajiliwa yanga sc makomandoo wa simba walikuwa wanapanga waende kwa mganga kumroga Ibrahim Ajib wakati wanapanga hayo jamaa mmoja ambaye namfahamu akasema na nakumbuka mpaka leo alichosema
"Msisumbuke kwenda kumroga Ajibu ,Ajibu mimi namjua ni mvivu wa mazoezi ,kipaji anacho ila ni mvivu mpeni muda ataboronga tu yanga na atakosana nao tu.
Mjadala huu wa makomando wa simba yaliniacha na maswali mengi mpaka nikamkumbuka mchezaji wa Azam Ramadhan singano aliyeondoka simba vibaya kama Ajibu hakuondoka kwa shari walitaka kumroga na sijui kama walimroga au kauli ya yule jamaa iliwafanya wasimroge
Je vipi kwa singano aliyeondoka simba kwa Shari bila ya shaka naamini makomando wa simba walimuendea kwa mganga singano na kumroga .,singano hakuachwa salama wallahi
Nb:makomando ni wale kabla ya mechi wanaenda kulinda viwanja....kwa pamoja tushirikiane kupiga vita makomando kwenye vilabu haswa simba na yanga
"Msisumbuke kwenda kumroga Ajibu ,Ajibu mimi namjua ni mvivu wa mazoezi ,kipaji anacho ila ni mvivu mpeni muda ataboronga tu yanga na atakosana nao tu.
Mjadala huu wa makomando wa simba yaliniacha na maswali mengi mpaka nikamkumbuka mchezaji wa Azam Ramadhan singano aliyeondoka simba vibaya kama Ajibu hakuondoka kwa shari walitaka kumroga na sijui kama walimroga au kauli ya yule jamaa iliwafanya wasimroge
Je vipi kwa singano aliyeondoka simba kwa Shari bila ya shaka naamini makomando wa simba walimuendea kwa mganga singano na kumroga .,singano hakuachwa salama wallahi
Nb:makomando ni wale kabla ya mechi wanaenda kulinda viwanja....kwa pamoja tushirikiane kupiga vita makomando kwenye vilabu haswa simba na yanga