Je, ratiba ya raundi ya kwanza mtoani CAF champions league itabadilika

Je, ratiba ya raundi ya kwanza mtoani CAF champions league itabadilika

Wale jamaa nasikia walipeleka msimamo wa first round ya league na PYRAMIDS wameenda FIFA kudai haki yao maana al ahly yupo Caf champions league wakati PYRAMIDS yupo caf confederation wahuni sana jamaa wa Egypt wanaibeba al ahly wazi wazi.
kabebwaje sasa hapo wakati timu zilitumwa mzunguko wa kwanza wakiwa na sifa.Hizo timu zingine zilipaswa kupinga huo utaratibu toka mwanzo.sasa kama walikaa kimya kuja kulalamika sasa baada yakupata nafasi nikutaka kuleta tu mgogoro.Aly Ahly hajabebwa kwasababu wanaopanga ratiba ni chama cha soka nawao ndio waliopendekeza huo utaratibu timu washiriki wa ligi wakaridhia.
 
kabebwaje sasa hapo wakati timu zilitumwa mzunguko wa kwanza wakiwa na sifa.Hizo timu zingine zilipaswa kupinga huo utaratibu toka mwanzo.sasa kama walikaa kimya kuja kulalamika sasa baada yakupata nafasi nikutaka kuleta tu mgogoro.Aly Ahly hajabebwa kwasababu wanaopanga ratiba ni chama cha soka nawao ndio waliopendekeza huo utaratibu timu washiriki wa ligi wakaridhia.
Umeelewa mada lakini hayo majina yamepelekwa baada ya league kuchelewa kuisha ndo wakafanya huo umafia ww ni shabiki na mfuatiliaji wa mpira uliona wapi utaratibu huo au sheria gani inasema hvyo tuwekee hapa na sisi tujifunze walichofanya al ahly ni umafia tu hakuna kingine cha kuhalalisha umafia ule.
 
Back
Top Bottom