Je Ronaldo leo atauvunja mwiko?: Hajawahi kufunga goli dhidi ya Ujerumani!

Je Ronaldo leo atauvunja mwiko?: Hajawahi kufunga goli dhidi ya Ujerumani!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Ronaldo amecheza mechi 4 dhidi ya Ujerumani. Mara zote hizo hajawahi kufunga goli! Je leo atauvunja mwiko huo na kuzifumania nyavu? Ngoja tuone, yetu macho!
 
Tayari amesha vunja mwiko. Dk ya 14. POR 1 - GER 0
 
Ronaldo tayari amefanikiwa kuuvunja mwiko wa kutokuwavunga wajerumani. Tayari ametikisa nyavu!! Nawahurumia wasiompenda R7!! Porgugal 1 Ujerumani 0.
 
Portugal wamejifunga wenyewe magoli mawili na aliyejifunga magoli yote mawili ni huyohuyo!
 
Walio na updates watuwekee na sisi tulioko maeneo hatarishi tuone jinsi mjerumani anavyotaabika...
 
Back
Top Bottom