Ndugu zangu mnaosema wanaweza kuoana mna tatizo na tatizo lenu ni kuathiriwa sana na uzungu katika kila maamuzi yenu,,,wazazi wameoana eti na wao waoane ksb hawajanyonya ziwa moja,,,nyieeee angalieni sana madhara na faida ya ushauri wenu kwa kila mnachoshauri......wazazi wao wageuke kuwa wakwe zao hii kweli ni halali??? Au wanatafuta laana hao.
Wanawake na wanaume wooooote waliojazana dunia hii bado mnaruhusu eti dada na kaka yake waliolelewa nyumba moja waoane kweli????.....jamani sisi walimwengu hata sijui tunaelekea wapi??....eeeh mungu naaamini watu sasa tumepungukiwa hekima ,busara,utu, katika maamuzi yetu mengi tunayoamua. Nakuomba mungu utuepushe na hasira yako tujaalie hekima,busara,utu na kikubwa zaidi tutambue uwepo wako mungu katika maisha yetu ya kila siku.