Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Ruto hajajiunga NATO. Rais wa Marekani, Joe Biden, alitangaza kwamba Kenya itapewa hadhi ya kuwa "mshirika mkuu asiye mwanachama wa NATO" (Major Non-NATO Ally).
View: https://vm.tiktok.com/ZMr1wacyA/
Hadhi hii inaonyesha ushirikiano wa karibu na wa kimkakati kati ya Kenya na Marekani, lakini haimanishi kuwa Kenya inajiunga na NATO.
Hii ni hatua muhimu kwa Kenya kuwa mshirika muhimu wa kimataifa na kuhusika katika masuala ya usalama, kama vile kuongoza kikosi cha kimataifa kinachopelekwa Haiti.
View: https://vm.tiktok.com/ZMr1wacyA/
Hadhi hii inaonyesha ushirikiano wa karibu na wa kimkakati kati ya Kenya na Marekani, lakini haimanishi kuwa Kenya inajiunga na NATO.
Hii ni hatua muhimu kwa Kenya kuwa mshirika muhimu wa kimataifa na kuhusika katika masuala ya usalama, kama vile kuongoza kikosi cha kimataifa kinachopelekwa Haiti.