Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huko ndiko wanakoelekeaWawachukue na Panya Rodi nao wawafanye Polisi.
Kama chadema walimchukua lowasa kugombea urais ambaye walimtuhumu kwa miaka nane wakiwa na makabrasha waliyoita ushahidi sioni shida hao wengine wakipewa nafasi kwa tuhuma za chadema. Maana siku wakihamia kwenu mtawapa nafasi wapeperushe bendera za urais.Huko ndiko wanakoelekea
nje ya madaKama chadema walimchukua lowasa kugombea urais ambaye walimtuhumu kwa miaka nane wakiwa na makabrasha waliyoita ushahidi sioni shida hao wengine wakipewa nafasi kwa tuhuma za chadema. Maana siku wakihamia kwenu mtawapa nafasi wapeperushe bendera za urais.
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Jikite kwenye madaNi suala la muda tu atarudi kundini. Hata kina Halima Mdee watarudishwa CHADEMA. Mark my words.
Wanasiasa Huwa hawagombani, wanatofautiana tu.
Umeandika kisomi sana ! kwani ulisoma Makerere ?We ukishikwa Nyege tu unakuja kuweka upupu hapa.
Kama Sabaya yuko cleared na mahakama akiteuliwa cheo chochote kile we inakuathiri wapi?
Unatujazia server hapa kwa upumbavu tu na ushumbwanda wako.
Nilisomea makelele km mwenyekiti wako sio makerere.Umeandika kisomi sana ! kwani ulisoma Makerere ?
Badala kupanga safu zenu za vikoba kutwa kuangazia kwenye majiko ya watu kunapikwa nini..wenzenu Act wazalendo wameshinda mtambwe kwa tume hii hii ya uchaguzi chadema wamekalia majungu tu!Baada ya kumrejesha Makonda , Dr Hangaya akitetea uamuzi wake huo alisema kwamba , Makonda hakuwahi kuikosea ccm , " mligombana wenyewe kwa wenyewe huko "
Sasa kwa vile Sabaya naye hakuwahi kugombana na ccm , bali aligombana na aliowateka kwa mtutu wa bunduki , huku akiweka namba za kizushi za UN kwenye magari aliyoyatumia kwenye uharamia huo , na labda aliweka Chumvi kwenye injini za magari ya Mbowe ili kuyaharibu , Je sasa naye atalamba shavu ?
View attachment 2796909
Chadema ni watu wa wivu, chuki,majungu na uchonganishi Tu basiBadala kupanga safu zenu za vikoba kutwa kuangazia kwenye majiko ya watu kunapikwa nini..wenzenu Act wazalendo wameshinda mtambwe kwa tume hii hii ya uchaguzi chadema wamekalia majungu tu!